Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
KPI za Prof Janabi hizo[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumjua Mgonjwa rahisi sana. Mgonjwa apewe green card ya kutolipia parking baada ya kumaliza matibabu. Hakuna mgonjwa asiye na doc zza matibabu. Anapewa pale getini, akimaliza matibabu anapewa another card kuonyesha alikuwa kwenye matibabu. Simple, ukitumia brain hicho ni kitu simple sana.Una akili sana umeliona hilo
Hata mi nnaona wanajaribu kuwavunja moyo wa watu kupenda kwenda na magari yao Muhimbili....... lakini wamebakia sensitive enough kuwasikiliza wanaopeleka au kufuata mgonjwa chaap na kuondoka (chini ya nusu saa)
Kwa kifupi hawataki pawe kero parking space bali watu waje na kuondoka. Na kama hawataki kuja na kuondoka basi wajilipie gharama za kupaki.
Mi nnaona sahihi tu
Halafu uliyeshauri eti waangalie nani ni mgonjwa na nani ni mgeni. Hivi unawezaje kusimamia utaratibu wa namna hiyo? Sasa wenye magonjwa ya kudumu itakuwaje? Mtu akimwambia mlinzi nnaumwa kichwa mlinzi atajuaje🤨. Bora tu waweke hela mingi halafu hayo mengine watu watajirekebisha wenyewe
Ni sawa inawezekanaKumjua Mgonjwa rahisi sana. Mgonjwa apewe green card ya kutolipia parking baada ya kumaliza matibabu. Hakuna mgonjwa asiye na doc zza matibabu. Anapewa pale getini, akimaliza matibabu anapewa another card kuonyesha alikuwa kwenye matibabu. Simple, ukitumia brain hicho ni kitu simple sana.