Gharama za kuingiza gari bandari ya Dar

Mimi nilipigwa tsh 850000/= mwezi October mwaka Jana nahisi hizo bei ni kawaida
 
T
mimi sijasema ni nyingi
swali la msingi ni Kwa nini hazifanani na ni tozo za serikali? inaonesha kuna ubabaishaji hapo
Agent fee peke yake ndio inatakiwa iwe tofauti
Tafuta TPA tarrif guide na TRA tarrif guide hesabu zote zipo huko
 
gharama za kupitisha vyombo vya moto bandarini
Utalipa ushuru wa TRA
Utalipa wharfage TRA
Utalipa port charges (handling, corridor levy etc)
Utalipa shipping line
Utalipa gharama za clearing and forwarding

Sasa taja aina ya gari na mwaka ili tupate excat figure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…