Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Waswahel wa Pwani waliosema pesa mwanaharamu sijui ninini kiliwapa mpaka kuna na huo usemi
Nijuavyo mimi ukiachana na mengine yote.
Kuna kitu kinaitwa kichaa cha pesa! Pesa inachizisha watu na kuwafanya wendawazimu kabisa! Hata wewe ukizipata utawehuka hasa zikishakuwa nyingi na ziada kwa ajili ya kutimiza matamanio ya kimwili na kudhihirisha ukwasi wengi hujikuta wananunua na kumiliki kifo kwa gharama kubwa!
Kumiliki helicopter ni aina mojawapo ya kudhihirisha mapene mengi uliyonayo.. Maana gharama zake si mchezo kuanzia
Manunuzi
Vibali
Mafuta
Rubani
Service
Ruhusa ya kuruka
Maegesho nknk
Pamoja na usafiri wa ndege kutajwa kama usafiri salama zaidi duniani.. Lakini kwa helicopter ni ngumu kuamini sana hayo yanayosemwa.
Helicopter zimekatisha maisha ya watu wengi maarufu na wenye pesa nyingi. Helicopter haina comfortability yoyote. Hata ukipanda hamuwezi kusikilizana na ni lazima mvae headphones.
Hata kama kuna life jackets lakini msaada wake ni mdogo sana kwakuwa ajali za helicopter hutokea ghafla na bila dalili za kukupa muda wa kujiandaa.
Kwa mshangao mkubwa watu wwnamiliki chombo hiki ambacho kimejaa gharama na usumbufu mwingi. Halafu kifo ni njenje.
Kumiliki helicopter ni sawa na kumiliki kifo kwa gharama kubwa!
Kingine ni kumiliki bastola!
Nijuavyo mimi ukiachana na mengine yote.
Kuna kitu kinaitwa kichaa cha pesa! Pesa inachizisha watu na kuwafanya wendawazimu kabisa! Hata wewe ukizipata utawehuka hasa zikishakuwa nyingi na ziada kwa ajili ya kutimiza matamanio ya kimwili na kudhihirisha ukwasi wengi hujikuta wananunua na kumiliki kifo kwa gharama kubwa!
Kumiliki helicopter ni aina mojawapo ya kudhihirisha mapene mengi uliyonayo.. Maana gharama zake si mchezo kuanzia
Manunuzi
Vibali
Mafuta
Rubani
Service
Ruhusa ya kuruka
Maegesho nknk
Pamoja na usafiri wa ndege kutajwa kama usafiri salama zaidi duniani.. Lakini kwa helicopter ni ngumu kuamini sana hayo yanayosemwa.
Helicopter zimekatisha maisha ya watu wengi maarufu na wenye pesa nyingi. Helicopter haina comfortability yoyote. Hata ukipanda hamuwezi kusikilizana na ni lazima mvae headphones.
Hata kama kuna life jackets lakini msaada wake ni mdogo sana kwakuwa ajali za helicopter hutokea ghafla na bila dalili za kukupa muda wa kujiandaa.
Kwa mshangao mkubwa watu wwnamiliki chombo hiki ambacho kimejaa gharama na usumbufu mwingi. Halafu kifo ni njenje.
Kumiliki helicopter ni sawa na kumiliki kifo kwa gharama kubwa!
Kingine ni kumiliki bastola!