Gharama za kumkufuru Mungu

Gharama za kumkufuru Mungu

Usithubutu kumkufuru Mungu kamwe!! Narudia tena usithubutu kumkufuru Mungu kamwe!!!

Mmiliki wa meli kubwa kuliko zote ya Titanic [emoji569]️ alisema: "Hata Mungu hawezi kuizamisha
meli hii”, unajua nini kilitokea? Meli [emoji569] ilizama muda mfupi baadaye.

Marilyn Monroe alisema: "Simhitaji YESU", siku 3 baadaye alipatikana amekufa.

Binti mmoja alikuwa anaenda kutalii na marafiki zake kwa gari yao ndogo. Mama yake akamwambia binti yake, "Mungu awe nawe".
Cha ajabu binti akajibu, Kwenye gari Hakuna nafasi. Labda huyo Mungu aingie kwenye buti nyuma ya gari, maana yake hakukuwa na nafasi ndani ya gari isipokuwa kwenye buti. Katika safari yao walipata
ajali mbaya ambapo watu wote waliokuwa ndani ya gari hilo walifariki dunia lakini kwenye buti kulikuwa na Trey ya mayai ikakutwa nzima halikuvunjika yai hata moja. Kumbe ni kweli Mungu alikuwepo kwenye buti.

Baba moja alimwambia mwanawe, "Mungu akulinde", mtoto akasema, "rafiki zangu watanilinda kuliko Mungu", alipokuwa akirudi kutoka kazini kwake risasi iliyopotea ilimuua ambapo
marafiki zake walimtazama tu lakini hawakuweza kumlinda.

Mvulana alikwenda kanisani na kukojoa msalabani akisema "hakuna MUNGU", siku iliyofuata alipoteza mikono yake, na kukiri kuunajisi msalaba wa Yesu.

Mwanaume mmoja alipata ujumbe huu na kuufuta akisema ni nini hiki?!! "Mungu hayupo", mtu huyo aliteseka kwa miaka 8 kabla ya kifo,

Mtu mwingine alipata ujumbe huu na kuusambaza kwa watu wengi iwezekanavyo alipandishwa cheo katika kazi yake.

MUNGU hufungua milango ambayo hakuna awezaye kuifunga. Na kama humhitaji MUNGU puuza ujumbe huu na usiueneze............ [emoji17]

Ujumbe unalenga kuzunguka ulimwengu mzima.

Rais wa Argentina aliupokea ujumbe huu na kuupuuza, baada ya siku 8 mtoto wake alikufa.

Mtu mmoja huko Tanga alimdhulumu mtu fedha milioni moja ya shamba. Baba mmoja akamwambia, wewe humjui Mungu. Huyo mtu akajibu, "Mungu, Mungu ni kitu gani? Hakuna Mungu" Baba akamwambia, basi kama humjui utakutana naye njiani. Alipokuwa kwenye safari zake, akakutana na majambazi wakamuua wakachukua fedha laki tatu tu, laki saba zikabaki kwenye mfuko wa bukta ndani ya suruali. Akakutwa ametupwa porini. Watu wakatoa taarifa ikafahamika kwamba ni yule aliyekufuru.

Ujumbe huu ni mtakatifu na wa miujiza.
Shiriki hii neema kwenye vikundi 5 tofauti vya WhatsApp na andika neno "Amen" Kisha subiri katika siku 5 zijazo utapata jambo la kushangaza. Usipuuze!!!

Baraka itakuja kwako kwa namna ya ajabu ikiwa ni nyumba, ndoa, fedha au kazi.

Usiivunje au kuuliza maswali, huu ni mtihani.
wewe kwanza ujui maana ya kufuru, kitendo cha kuimta yesu mungu hiyo 1 kufuru kubwa sana
 
Aliyesema hamhitaji Yesu akakutwa na umauti, sio sababu za kumkataa Yesu kwani Yesu sio wa wote, mf. Waislamu. Nafikiri hata Ile meli iliyozama ni mambo ya kafara. Waliofanikiwa wengi wanamkufuru Mungu na wanapeta. Huenda Mungu anatengenezwa na binadamu kwenye akili. Pure imagination!
 
Mada nzuri inafundisha, ila umeharibu ulipoanza kulazimisha tutume kwenye makundi ya whatsapp.!
 
Usithubutu kumkufuru Mungu kamwe!! Narudia tena usithubutu kumkufuru Mungu kamwe!!!

Mmiliki wa meli kubwa kuliko zote ya Titanic ⛵️ alisema: "Hata Mungu hawezi kuizamisha
meli hii”, unajua nini kilitokea? Meli ⛵ ilizama muda mfupi baadaye.

Marilyn Monroe alisema: "Simhitaji YESU", siku 3 baadaye alipatikana amekufa.

Binti mmoja alikuwa anaenda kutalii na marafiki zake kwa gari yao ndogo. Mama yake akamwambia binti yake, "Mungu awe nawe".
Cha ajabu binti akajibu, Kwenye gari Hakuna nafasi. Labda huyo Mungu aingie kwenye buti nyuma ya gari, maana yake hakukuwa na nafasi ndani ya gari isipokuwa kwenye buti. Katika safari yao walipata
ajali mbaya ambapo watu wote waliokuwa ndani ya gari hilo walifariki dunia lakini kwenye buti kulikuwa na Trey ya mayai ikakutwa nzima halikuvunjika yai hata moja. Kumbe ni kweli Mungu alikuwepo kwenye buti.

Baba moja alimwambia mwanawe, "Mungu akulinde", mtoto akasema, "rafiki zangu watanilinda kuliko Mungu", alipokuwa akirudi kutoka kazini kwake risasi iliyopotea ilimuua ambapo
marafiki zake walimtazama tu lakini hawakuweza kumlinda.

Mvulana alikwenda kanisani na kukojoa msalabani akisema "hakuna MUNGU", siku iliyofuata alipoteza mikono yake, na kukiri kuunajisi msalaba wa Yesu.

Mwanaume mmoja alipata ujumbe huu na kuufuta akisema ni nini hiki?!! "Mungu hayupo", mtu huyo aliteseka kwa miaka 8 kabla ya kifo,

Mtu mwingine alipata ujumbe huu na kuusambaza kwa watu wengi iwezekanavyo alipandishwa cheo katika kazi yake.

MUNGU hufungua milango ambayo hakuna awezaye kuifunga. Na kama humhitaji MUNGU puuza ujumbe huu na usiueneze............ 😔

Ujumbe unalenga kuzunguka ulimwengu mzima.

Rais wa Argentina aliupokea ujumbe huu na kuupuuza, baada ya siku 8 mtoto wake alikufa.

Mtu mmoja huko Tanga alimdhulumu mtu fedha milioni moja ya shamba. Baba mmoja akamwambia, wewe humjui Mungu. Huyo mtu akajibu, "Mungu, Mungu ni kitu gani? Hakuna Mungu" Baba akamwambia, basi kama humjui utakutana naye njiani. Alipokuwa kwenye safari zake, akakutana na majambazi wakamuua wakachukua fedha laki tatu tu, laki saba zikabaki kwenye mfuko wa bukta ndani ya suruali. Akakutwa ametupwa porini. Watu wakatoa taarifa ikafahamika kwamba ni yule aliyekufuru.

Ujumbe huu ni mtakatifu na wa miujiza.
Shiriki hii neema kwenye vikundi 5 tofauti vya WhatsApp na andika neno "Amen" Kisha subiri katika siku 5 zijazo utapata jambo la kushangaza. Usipuuze!!!

Baraka itakuja kwako kwa namna ya ajabu ikiwa ni nyumba, ndoa, fedha au kazi.

Usiivunje au kuuliza maswali, huu ni mtihani.
yesu sio Mungu, binadamu kama wewe
 
Mwenzake Rakims ndio kafungua kilinge cha kiganga, anaagua huko.
Nadhani hapa mnamuongelea mtu aliyewahi kufanya kufuru au anaefanya kufuru mimi nimewahi kufanya kufuru gani wewe ukaishuhudia hadi kusema mwenzangu huyu kiranga?
Ulishawahi kuona imani yangu au elimu yangu na ya kiranga zinafanana au?
 
Mwambie huyo Mungu wako ajishushe dunian aje apambane na raia live na sio ninyi kumtetea kwa stor za kipumbavu.

Unapoongelea Mungu uwe unataja na Mungu yupi maana dunia ina Waungu wengi, kuanzia huyo wa wakristo, waislam, wahindu, wabudha, waabudu mizimu na wengineo hawa wote wanadai Miungu yao ni kweli, sasa sijui kati ya hao ni yupi Mungu unaemuongelea wew.

Hizi habari kwa kizazi kijacho itakuwa ni kichekesho maana tunakoelekea watu wengi wataacha kuamini hizo stori za hao Miungu wenu, biblia&quran vitakuwa vitabu vya maonesho huko national museums ambako watu watalipia kwenda kuona vitabu vilivyoharibu akili za babu zao, ambao ndio ninyi watu waleo mliolewa na hayo mafundisho ya uongo.
 
Tuchukuwe mda mwingi kujadili vitu vinavyoonekana, visivyoonekana ni kupoteza mda.
 
Back
Top Bottom