Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Hahahaha
Mkuu naona laana imeanza kazi kabla haijasomwa.kwako.

Jinsi ya khiepuka toa hiyo 709k akatibiwe
 
Kama aliweza kuuza mali zake ili awahudumie...imekuaje mshindwe kuuza mali zenu kumuhudumia...? Hamjamtendea Haki. Kifo kisikie TU ndugu yangu ukitaka habari zake angalia hata documentary za Near-death experience. Mimi nilishawahi kuumwa Hadi nikawa nahisi nitakufa muda sio mrefu lakini Bado maisha nilikuwa nayahitaji.

Kila mtu na mtazamo wake pengine wenzetu wazee amuwapendi.​
 
Ningekukutukana Ila basi tu siyo malezi yangu. Nadhani huyo siyo baba yako mzazi, angekuwa baba yako usingetoa kauli ya kumuacha afe eti umechoka. Vaa huo uhusika km wewe ndo watoto wako wangekuwa wanasema hivyo. Unakera sn bora ungetoa thread ya kuomba ushauri wa maan siyo hii.
 
Unaposema bado anataka kuishi unamaanisha nini[emoji28][emoji28]

Kwani analazimishaje kuishi? Hakuna hila mtafanya ifupishe safari?

Kimsingi sioni sababu ya mtu kuishi umri mrefu kama huo hata mimi sitaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu kuzaa siyo kupata,Mungu amsamehe tu mleta mada.
 
Mleta mada kwa imani ishu humu.
 
Hii thread imenifanya nicheke saana, mleta mada pepo utaisikia.

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
So wachina , wahindi,wajapani,Imani za mizimu za kiafrika na sie tujivunie vya asili na sio huyu anajivunia dini aliyoletewa na mashua Mana Hawa jamaa wasingekuja sijui angejivunia Nini na ilhali wakamuachia dini Ila wakamuibia madini na kumuuza utumwani wakampatia Imani ya kumpooza akili yake itulie.
Namie najivunia kuwa mwafrika na dini yangu ya kiafrika Mana tulikuwa na dini zetu kabla ya wageni hawajaja afrika miaka ya 1200 kurudi nyuma.
Najivunia kuwa Muislamu kwani Uislamu umetufunza yote haya.
 
Bora dingi angepiga nye***o.
Mzee, vitu kama hivi hatuleti hadharani. Najua unawaza sana, unaumia mno.
Mambo kama haya unakufa nayo kiume. Ni kama umechapiwa mkeo na huwezi kumuacha (ni mfano tu).
Kuweka hapa habari hizi ni kukosa utu na kutomthamini mzazi wako.

Kama huna guts za kugoma kutoa pesa za matibabu (probably unaogopa kupata radhi ama kuonekana na familia wewe ni wa hovyo) basi ungetulia kimya hivyo hivyo.

Mwenyezimungu akupe subira.
 

Chizi
 
Jiweke wewe mahali pake
"Everybody wants to go to heaven but no one wants to die" PETER TOSH ( The Wailers)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…