Hili takataka lililoleta hii mada sijui lina hali gani huko liliko? Yaani dunia huu imejaza matakataka! Sikuona kabisa haja ya kumfungulia uzi mzazi wake!Nunua Zimbambwe mpe akunywe afe
Au nenda duka la mifugo tafta sumu mletee umpe
Ujue kuna watu mnakuaga vilaza sana pesa inataftwa ila uhai ukienda umeenda na hautorudi wala akuna pesa ya kurudisha uhai
Iv unazan km ww ndo ungekua mgojwa wa kufa baba yako angekuja humu kuomba msaada au kutangaza
Ndg baba ni mmoja tu dunian na akuna mwingne km unaweza mpambania akapona fanya ivyo na ikitokea kafariki bas itakua mipango ya Mola
Linajiita Chizi Maarifa!Chizi
Nakuelewa bro. Ila mhudumie bila kunung'unika hutaishiwa kabisa. Ila hii pia ni shule tujitahid kuwekeza ili hela ituhudumie uzeen tuache tabia za kuwapiga mkwara watoto wa kuachia laana.Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.
Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?
Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.
Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Hio laki 7 usitoe mkuu nunua sumu ya jero😊Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.
Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?
Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.
Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
[emoji3][emoji3]Hio laki 7 usitoe mkuu nunua sumu ya jero[emoji4]
Hata wewe ukiwa mtoto ulimtesa sana. Umasikini na ufukara wake umechangiwa na wewe na ndugu zako. Mzee hakuweza kufanya jambo la maendeleo kwani Kila alichopata aliwekeza kwenye elimu, afya , mavazi, malazi na chakula chenu ninyi mliokuwa mnafyeka kuliko mchwa.!!! Sasa mnajiona wajanja, mnajiona mlivyo navyo kama mmezalisha wenyewe...Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.
Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?
Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.
Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Kuwa makini sana, muuguze mpaka mwisho achana na kuwaza mambo mengine yoyote. Do what you can! Hauwezijua wewe utaishi miaka mingapi na wanao watasumbuka na wewe kiasi gani. Ni noma sana, usiuguze mzazi kwa masononeko hata kidogo.Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.
Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?
Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.
Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Chizi hilo achana nalo.Hoja hupingwa na hoja lete aya inayopinga aliyoyatoa huyo member ikiwa wewe unaijua dini kuliko yeye.
Mtu yeyote anweza kuwa alhaji akishaenda ku hiji makka ,mtu yeyote anaweza pia kuwa mufti maana ni nafasi ya uteuzi wa kiserikali na haizingatii elimu ya dini .
So usitumie hayo kama chaka la kujifichia pinga hoja kwa hoja
Ila watu wengine tunakuwa kama mazuzu, yaani mzazi wako augue wewe utamani afe? Unajua alijinyima vingapi ili wewe uende shule? Na hiyo kazi unayoringa nayo bila elimu ungeipata wapi? Chizi Maarifa jina lake limesadifu haiba take!Nakuelewa bro. Ila mhudumie bila kunung'unika hutaishiwa kabisa. Ila hii pia ni shule tujitahid kuwekeza ili hela ituhudumie uzeen tuache tabia za kuwapiga mkwara watoto wa kuachia laana.
Hili mkuu ni chizi!Kuwa makini sana, muuguze mpaka mwisho achana na kuwaza mambo mengine yoyote. Do what you can! Hauwezijua wewe utaishi miaka mingapi na wanao watasumbuka na wewe kiasi gani. Ni noma sana, usiuguze mzazi kwa masononeko hata kidogo.
Sasa kwanini hakutafuta pesa kwnza ndo awazae hao watoto. Huu utetezi wako hauna mashiko.Hata wewe ukiwa mtoto ulimtesa sana. Umasikini na ufukara wake umechangiwa na wewe na ndugu zako. Mzee hakuweza kufanya jambo la maendeleo kwani Kila alichopata aliwekeza kwenye elimu, afya , mavazi, malazi na chakula chenu ninyi mliokuwa mnafyeka kuliko mchwa.!!! Sasa mnajiona wajanja, mnajiona mlivyo navyo kama mmezalisha wenyewe...
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Msaidieni asiwe na maumivu. Kwa umri huo hatarudi kwenye ujana tena.Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.
Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?
Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.
Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Hahahaha
Mkuu naona laana imeanza kazi kabla haijasomwa.kwako.
Jinsi ya khiepuka toa hiyo 709k akatibiwe
Ningekukutukana Ila basi tu siyo malezi yangu. Nadhani huyo siyo baba yako mzazi, angekuwa baba yako usingetoa kauli ya kumuacha afe eti umechoka. Vaa huo uhusika km wewe ndo watoto wako wangekuwa wanasema hivyo. Unakera sn bora ungetoa thread ya kuomba ushauri wa maan siyo hii.
Unaposema bado anataka kuishi unamaanisha nini[emoji28][emoji28]
Kwani analazimishaje kuishi? Hakuna hila mtafanya ifupishe safari?
Kimsingi sioni sababu ya mtu kuishi umri mrefu kama huo hata mimi sitaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu kuzaa siyo kupata,Mungu amsamehe tu mleta mada.
Bora dingi angepiga nye***o.
Mzee, vitu kama hivi hatuleti hadharani. Najua unawaza sana, unaumia mno.
Mambo kama haya unakufa nayo kiume. Ni kama umechapiwa mkeo na huwezi kumuacha (ni mfano tu).
Kuweka hapa habari hizi ni kukosa utu na kutomthamini mzazi wako.
Kama huna guts za kugoma kutoa pesa za matibabu (probably unaogopa kupata radhi ama kuonekana na familia wewe ni wa hovyo) basi ungetulia kimya hivyo hivyo.
Mwenyezimungu akupe subira.
Jiweke wewe mahali pake
"Everybody wants to go to heaven but no one wants to die" PETER TOSH ( The Wailers)
Siyo suala la dini, ni hekima ya kawaida tu. Hata wapagani hufanya ulivyosema, na ndiyo sahihiNajivunia kuwa Muislamu kwani Uislamu umetufunza yote haya.
Haki ya kuiwhi na kupata ulinzi wa maisha haijaelezea umri wala haiba.unapaswa utumie akili mzee ana miaka 97 amezeeka hana kumbukumbu hata ya mtu, hawezi chochote cha kufanya, mnapigania kwa gharama kubwa aishi.... ikiwa siku zake zimefika ukingoni ili iweje sasa? badala ya kupambana sasa kusaidia hawa ambao wana umria mbao angalau kama wakiishi wanaweza endelea na ujenzi wa taifa na familia. acheni unafiki nyie watu. kuna umri ukifika kifo kitakuja tu hata kwa kuwekewa mashine ya kupumua.... mtu anashinda ICU amewekewa mashine ya kupumulia. mnalipia pesa nyingi mpaka lini?ili iweje? tulishampeleka India wakasema umri umeenda kuna matibabu hawezi pewa tena, kuna dawa hazimfai ...mnataka tuendelee kuhudumia nini? HUO NI UNAFIQ TU UMEWAJAAUna roho mbaya sana