Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Nunua Zimbambwe mpe akunywe afe
Au nenda duka la mifugo tafta sumu mletee umpe

Ujue kuna watu mnakuaga vilaza sana pesa inataftwa ila uhai ukienda umeenda na hautorudi wala akuna pesa ya kurudisha uhai
Iv unazan km ww ndo ungekua mgojwa wa kufa baba yako angekuja humu kuomba msaada au kutangaza
Ndg baba ni mmoja tu dunian na akuna mwingne km unaweza mpambania akapona fanya ivyo na ikitokea kafariki bas itakua mipango ya Mola
Hili takataka lililoleta hii mada sijui lina hali gani huko liliko? Yaani dunia huu imejaza matakataka! Sikuona kabisa haja ya kumfungulia uzi mzazi wake!
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Nakuelewa bro. Ila mhudumie bila kunung'unika hutaishiwa kabisa. Ila hii pia ni shule tujitahid kuwekeza ili hela ituhudumie uzeen tuache tabia za kuwapiga mkwara watoto wa kuachia laana.
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Hio laki 7 usitoe mkuu nunua sumu ya jero😊
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Hata wewe ukiwa mtoto ulimtesa sana. Umasikini na ufukara wake umechangiwa na wewe na ndugu zako. Mzee hakuweza kufanya jambo la maendeleo kwani Kila alichopata aliwekeza kwenye elimu, afya , mavazi, malazi na chakula chenu ninyi mliokuwa mnafyeka kuliko mchwa.!!! Sasa mnajiona wajanja, mnajiona mlivyo navyo kama mmezalisha wenyewe...

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Kuwa makini sana, muuguze mpaka mwisho achana na kuwaza mambo mengine yoyote. Do what you can! Hauwezijua wewe utaishi miaka mingapi na wanao watasumbuka na wewe kiasi gani. Ni noma sana, usiuguze mzazi kwa masononeko hata kidogo.
 
Hoja hupingwa na hoja lete aya inayopinga aliyoyatoa huyo member ikiwa wewe unaijua dini kuliko yeye.

Mtu yeyote anweza kuwa alhaji akishaenda ku hiji makka ,mtu yeyote anaweza pia kuwa mufti maana ni nafasi ya uteuzi wa kiserikali na haizingatii elimu ya dini .

So usitumie hayo kama chaka la kujifichia pinga hoja kwa hoja
Chizi hilo achana nalo.
 
Nakuelewa bro. Ila mhudumie bila kunung'unika hutaishiwa kabisa. Ila hii pia ni shule tujitahid kuwekeza ili hela ituhudumie uzeen tuache tabia za kuwapiga mkwara watoto wa kuachia laana.
Ila watu wengine tunakuwa kama mazuzu, yaani mzazi wako augue wewe utamani afe? Unajua alijinyima vingapi ili wewe uende shule? Na hiyo kazi unayoringa nayo bila elimu ungeipata wapi? Chizi Maarifa jina lake limesadifu haiba take!
 
Kuwa makini sana, muuguze mpaka mwisho achana na kuwaza mambo mengine yoyote. Do what you can! Hauwezijua wewe utaishi miaka mingapi na wanao watasumbuka na wewe kiasi gani. Ni noma sana, usiuguze mzazi kwa masononeko hata kidogo.
Hili mkuu ni chizi!
 
Hata wewe ukiwa mtoto ulimtesa sana. Umasikini na ufukara wake umechangiwa na wewe na ndugu zako. Mzee hakuweza kufanya jambo la maendeleo kwani Kila alichopata aliwekeza kwenye elimu, afya , mavazi, malazi na chakula chenu ninyi mliokuwa mnafyeka kuliko mchwa.!!! Sasa mnajiona wajanja, mnajiona mlivyo navyo kama mmezalisha wenyewe...

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Sasa kwanini hakutafuta pesa kwnza ndo awazae hao watoto. Huu utetezi wako hauna mashiko.
 
Dah inawezekana unapoint ila aina ya wasikishaji wa hii taarifa ni ya kiwaki sana umemkosea heshima na utu kwa mzee wako, hata kama mmechoka kumuhudumia bado nasfi yake ilikuwa hai alitakiwa kutunzwa na kupendwa hata kama sio kwa kiwango kikubwa lakini shown love Ni kila kitu kwa watu wenye umri mkubwa.

Bibi yetu alikuwa kwenye hali kama hiyo akiifikisha miaka 94 alipoteza kumbukumbu meno yote tulijitahidi sana kumuonyesha upendo hata kama kumbukumbu alikuwa hana tukamuhirw mtu wa kumtunza 24hrs tulijua kuwa wakati mwingine alitakiwa kufanyiwa matibabu ambayo tulijua kuwa itakuwa gharama kubwa, tulichokifanya tulikubaliana wote tufanye kwa kiasi kinachowezekana hasa kumpigania diet yake
 
Leo siku yangu imekua poa sana kwa kumkumbatia mama yangu na kumkalisha kwenye wheel chair kisha kumtoa nje apate japo hewa fresh na kajua fulani hivi.

Nilimuahidi nitakaa naye japo lisaa limoja tukipiga story japo haoni ila ilikua ni furaha kubwa sana kwake.

Sasa kilichotokea baada tu ya kumtoa nje mama,
Nimepata tenda zisizo na mwisho mpaka usiku wa saa mbili usiku wa leo.

Nimeingiza hela nyingi sana leo....

Usirudi kuandika upuuzi huu wa kuona mzazi wako hana thamani kuzidi ulivyo navyo
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Msaidieni asiwe na maumivu. Kwa umri huo hatarudi kwenye ujana tena.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
unapaswa utumie akili mzee ana miaka 97 amezeeka hana kumbukumbu hata ya mtu, hawezi chochote cha kufanya, mnapigania kwa gharama kubwa aishi.... ikiwa siku zake zimefika ukingoni ili iweje sasa? badala ya kupambana sasa kusaidia hawa ambao wana umria mbao angalau kama wakiishi wanaweza endelea na ujenzi wa taifa na familia. acheni unafiki nyie watu. kuna umri ukifika kifo kitakuja tu hata kwa kuwekewa mashine ya kupumua.... mtu anashinda ICU amewekewa mashine ya kupumulia. mnalipia pesa nyingi mpaka lini?ili iweje? tulishampeleka India wakasema umri umeenda kuna matibabu hawezi pewa tena, kuna dawa hazimfai ...mnataka tuendelee kuhudumia nini? HUO NI UNAFIQ TU UMEWAJAAUna roho mbaya sana
Hahahaha
Mkuu naona laana imeanza kazi kabla haijasomwa.kwako.

Jinsi ya khiepuka toa hiyo 709k akatibiwe

Ningekukutukana Ila basi tu siyo malezi yangu. Nadhani huyo siyo baba yako mzazi, angekuwa baba yako usingetoa kauli ya kumuacha afe eti umechoka. Vaa huo uhusika km wewe ndo watoto wako wangekuwa wanasema hivyo. Unakera sn bora ungetoa thread ya kuomba ushauri wa maan siyo hii.

Unaposema bado anataka kuishi unamaanisha nini[emoji28][emoji28]

Kwani analazimishaje kuishi? Hakuna hila mtafanya ifupishe safari?

Kimsingi sioni sababu ya mtu kuishi umri mrefu kama huo hata mimi sitaki

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndugu kuzaa siyo kupata,Mungu amsamehe tu mleta mada.

Bora dingi angepiga nye***o.
Mzee, vitu kama hivi hatuleti hadharani. Najua unawaza sana, unaumia mno.
Mambo kama haya unakufa nayo kiume. Ni kama umechapiwa mkeo na huwezi kumuacha (ni mfano tu).
Kuweka hapa habari hizi ni kukosa utu na kutomthamini mzazi wako.

Kama huna guts za kugoma kutoa pesa za matibabu (probably unaogopa kupata radhi ama kuonekana na familia wewe ni wa hovyo) basi ungetulia kimya hivyo hivyo.

Mwenyezimungu akupe subira.

Jiweke wewe mahali pake
"Everybody wants to go to heaven but no one wants to die" PETER TOSH ( The Wailers)
 
unapaswa utumie akili mzee ana miaka 97 amezeeka hana kumbukumbu hata ya mtu, hawezi chochote cha kufanya, mnapigania kwa gharama kubwa aishi.... ikiwa siku zake zimefika ukingoni ili iweje sasa? badala ya kupambana sasa kusaidia hawa ambao wana umria mbao angalau kama wakiishi wanaweza endelea na ujenzi wa taifa na familia. acheni unafiki nyie watu. kuna umri ukifika kifo kitakuja tu hata kwa kuwekewa mashine ya kupumua.... mtu anashinda ICU amewekewa mashine ya kupumulia. mnalipia pesa nyingi mpaka lini?ili iweje? tulishampeleka India wakasema umri umeenda kuna matibabu hawezi pewa tena, kuna dawa hazimfai ...mnataka tuendelee kuhudumia nini? HUO NI UNAFIQ TU UMEWAJAAUna roho mbaya sana
Haki ya kuiwhi na kupata ulinzi wa maisha haijaelezea umri wala haiba.

Ni absolute right
 
Haya unayoandika hapa baba yako angekuwa na access ya kuyasoma nina imani hata urithi wa kikombe Cha chai asingekupa. Wewe siyo binadamu wa kawaida. Nachokiona kingine km kweli ni baba yako basi umemchoka zaidi ya shetani. Wewe km ni ME husitahili kuwa na familia maan ipo siku mkeo akiugua utamkimbia, sababu km umeshindwa kuwa mvumilivu kwa aliyekuleta hapa duniani itakuaje kwa MKE, mtu wa ukoo mwingine.

Vipi ikitokea ukazaa kilema akawa anajisaiidia kitandani hanyanyuki utamtupa? Au vipi wewe leo ukipata ulemavu wa kudumu mfano kutoona macho au kukataa miguu hadi choon wakupeleke na wewe wakikuambia wamechoka utajiskiaje.

Kabla hujafa hujaumbika. Usimuombee baba yako afe, kuna watu wanatamani ndo wangekuwa na hata huyo mzee wewe usiye mtaka eti umechoka. Kwanza yeye angechoka kukulea leo ungekuwa hapo ulipo. Unapaswa kumshukuru Mungu kwa yote hasa kwa mtihani aliokupa. Hujiulizi kwa nini huo mtihani hakupewa Devi lakini umepewa wewe. Huduma kwa mzazi haina kikomo, labda km na wewe ndo wale vijana wavaa kata K na kunyoa viduku. Au walioenda chuo kikuu wakapata maji taka badala ya elimu. Unahuzunisha sn, na baba yako akulaani na kizazi chako chote
 
Back
Top Bottom