Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana inategemea mgonjwa kapangiwa vipi, kuna wanaosafishwa Mara 1 Kwa week, wengine Mara 2 naa baadhi Mara 3. Kila awamu 180000.Hiyo 180 ni awamu moja ambayo ni siku 3 boss ?
Poleni Sana .Baba ana mwezi wa 2 sasa tunahangaika na haya matibabu,
Ndio hivyo shehe issue ya figo ni suala lingine, tujitahidi tu kuepukana na kuichosha kwa kunywa vinywaji vikali na mengineyo[emoji849] duh
Wacha weee!! Mnatajirika tu 😂😂😂😂Waache watu wakafanyiwe Dialysis...
Sasa kama kashapata Tatizo hapo hakuna tena maswala ya kula na kunywa Matunda au kuacha kula Junk foods
Nimesoma UDSM 😜😜ngeli uko vizuri mzee
cc Lamomy
unalindaje figo mkuu?Tujitahidi kulinda figo zetu ndugu zangu, ukipata tatizo la figo hata uwe tajiri kiasi gani gharama za kusafisha figo lazima utafilisika kwa kuuza kila ulicho nacho na mwisho wa siku huwezi kusema kuwa utapona, unless upate mtu wa kukutolea Figo na hapo utaishi kwa masharti ili kuendana na Figo mpya uliyowekewa
Kuna viatarashi vyake kama matumizi makubwa ya vilevi vikali, kudhibiti sukari na presha ya kupanda, matumizi ya dawa bila kufuata ushauri wa wataalamu, kutokunywa maji mara kwa mara n.kunalindaje figo mkuu?
😂 😂 😂 😂 aiseeMzee yupi tena?? 🤣🤣🤣
Wizo wangu mshangazi ana bonge la wowowo
Dialysis inafanyika iwapo figo zote Zina matatizo au? Mnijuze wataalamDaaah! ugonjwa huo ni hatari sana,japo wote tutakufa lakini tujitahidi kuepuka vitu inavyosemekana vitasababisha tupate ugonjwa huo.Inasikitisha sana hasa gharama za uchujaji damu.Yaani gharama hizo,daaah! ukiugua kwanza unakufa kisaikolojia then unamalizika mwili.
Je ikitolewa ikabaki Moja iliyo salama??Tujitahidi kulinda figo zetu ndugu zangu, ukipata tatizo la figo hata uwe tajiri kiasi gani gharama za kusafisha figo lazima utafilisika kwa kuuza kila ulicho nacho na mwisho wa siku huwezi kusema kuwa utapona, unless upate mtu wa kukutolea Figo na hapo utaishi kwa masharti ili kuendana na Figo mpya uliyowekewa
Unaweza kuendelea kuishi kawaida ila kwa tahadhari kubwa kwa kuwa inabidi ibebe majukumu yake na ya mwenzake ambaye hayupo, maana nayo ikifeli ndiyo basi tenaJe ikitolewa ikabaki Moja iliyo salama??