intellect_reality
Member
- Dec 14, 2020
- 11
- 15
Habari wanamaendeleo, nimepata gari nzuri IST kwa Tsh 5M Kule zanzibar, na nimeipenda sana namba 130HL, nahitaji kuileta huku Tz bara, na sijui naanzia wapi
Nahitaji full details na GHARAMA zinaweza kuwa kiasi gani mpaka naingia barabarani.
Nitangulize shukran
Nahitaji full details na GHARAMA zinaweza kuwa kiasi gani mpaka naingia barabarani.
Nitangulize shukran