screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Kweli, kama ni buku unaipigia hesabu hapohapo maana una uhakika imeingiaKweli kabisa mkuu. Mteja anakuwa hakatei pesa nyingi hata wakala nae kale kakamisheni kanaongezeka halafu hakuna masuala ya kusubiri mwisho wa mwezi ni papo kwa papo unachukukua chako mapema.