Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Counter unalipa zaidi ya ATM!Ikiwezekana hata hiyo atm unaachana nayo bora uende counter tu ukatoe
Ova
Hapo ndio balaa zaidi ya balaa zoteIkiwezekana hata hiyo atm unaachana nayo bora uende counter tu ukatoe
Ova
Counter ni gharama zaidi ..niliwah taka toa wakaniambia kutolea counter ni gharama nno i think waliniambia kitu kama 7000 while atm ilikua less than a thousandIkiwezekana hata hiyo atm unaachana nayo bora uende counter tu ukatoe
Ova
Wanakata 100Makato ni makubwa hivi airtel wanakata sh ngapi simbanking kwa menu yao ya *150*03#
mpaka unamwagika[emoji125][emoji125][emoji125]Mama si anaupiga mwingi eti
Hujanielewa mkuu,iko hivi mimi ni mdau wa bank (a) sasa kupitia hii app yetu ninauwezo wa kutoa pesa via atm bila kuwa na atm card na pesa nikachukulia kwenye kituo chochote cha atm mashine.Yaani nitumie app lets say ya NBC nikatote kwa wakala wa Airtelmoney hizi ni transactions mbili Bank ale na Mpesa ale haiwezi kuwa sawa
Pole nilihamisha pesa kiasi cha tsh 50000 kutoka simbanking kwenda ac ya nmb makato niliyoyakuta niliumia sana roho nilikatwa 16000 elfu mwezi uliopita wa naneMm juzi nlijikuta napigwa na butwaa...why?Ipo hivi nlihamisha sh.8000/= kutoka NMB kwenda CRDB kwa kutumia Nmb mobile asee nlijikuta nmekatwa sh.10,000/=kama gharama za kutuma hiyo hela.
Yes, she should go direct to the point......IPO siku kitaeleweka tu ..... (When Exactly !!?? Be precise !!!)
CRDB hao. Makati vile vile tu. Mfano kutoa 50,000 kuleta Mpesa kisha kuitoa iyo upate Cash.Makato ni makubwa hivi airtel wanakata sh ngapi simbanking kwa menu yao ya *150*03#
Yanauzwa bei gani hayo?Hela ikiingia bank itoe yote ukahiifadhi nyumbani. Taften masanduku yale ya chuma safe kabisa na yanafunguliwa na pin code.