Gharama za nauli, chakula, maji, bundle, pamoja na kodi zinafanya biashara nyingi ziwe changamoto

Kwani ukishamlipa mshahara hayo mengine hata ashinde njaa au ale oxygen wewe (under capitalist motto) yanakuhusu nini


Tatizo langu mimi ni hizi Kodi za Serikali mfano Bundle, Taka, Fire na utitiri wa Kodi zisizo na maana (Tozo kibao lakini hakuna wanachofanya) No value for Money
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…