Hata mimi nimeshangaa wataalamu wa nje kuwaleta Sitta wakati kachaguliwa jana tu,haow wataalamu wa nje sisi watatusaidia kitu gani kipya ambacho wataalamu wetu wa hayo mambo kama akina Prof.Shivji,Dr Mwakyembe hawakijui au ndio ufujaji wa kodi zetu,ina maana alishajua kuwa lazimaatakuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba na akaanza kufanya mandalizi ya kuwaleta hao watu,Kweli Sitta ni ku sita kumchagua kwa kila uongozi anaotaka,Mungu anazidi kutuonyesha tabia ya Sitta,na Mungu ni mkubwa katuonyesha mapema kabla ya 2015,jamani Mungu ni mkubwa hasindwa kuonyesha ubaya wa mtu mbaya kwa waja wake