Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Wakuu, Mh. SS, pamoja na mambo mengine, amesema kutakuwa na Semina itakayoongozwa na wataalamu wa nje ya nchi yetu kwa wajumbe wa Bunge Maalum. Maswali yangu ni mengi kuliko majibu.
1. Amechaguliwa juzi tu, aliwaarifu lini hao wataalamu kuwa wanatakiwa kutoa semina Tanzania?
2. Alifuata taratibu za zabuni kuwapata wataalamu hao?
3. Gharama za kuwalipa hao wataalamu ni shilingi ngapi?
4. Hakuna mianya ya ufisadi au 10% katika mchakato wa kuwapata na kuwalipa?
Tufanye rejea katika thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/29351-ni-ufisadi-wa-spika-samwel-sitta-45.html
1. Amechaguliwa juzi tu, aliwaarifu lini hao wataalamu kuwa wanatakiwa kutoa semina Tanzania?
2. Alifuata taratibu za zabuni kuwapata wataalamu hao?
3. Gharama za kuwalipa hao wataalamu ni shilingi ngapi?
4. Hakuna mianya ya ufisadi au 10% katika mchakato wa kuwapata na kuwalipa?
Tufanye rejea katika thread hii: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/29351-ni-ufisadi-wa-spika-samwel-sitta-45.html