- Thread starter
- #21
Sawa mkuuDuuuuh Kama nyumb in 2 0m * 18m basi ni kubwa sanaa, utagharamika sana. Nifate pm nikudesign ndogo ya vyumba vitatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuDuuuuh Kama nyumb in 2 0m * 18m basi ni kubwa sanaa, utagharamika sana. Nifate pm nikudesign ndogo ya vyumba vitatu.
Nadhani hivi ni vipimo vya kiwanja.20x18x600,000=216,000,000/-
Mbona ipo juu sana [emoji1745]
😁😁😁Siku hiz na wewe ni fundi
Umeacha ualimu?
Kiwanja kina 35×25Nadhani hivi ni vipimo vya kiwanja.
punguza size ya nyumba...20x18x600,000=216,000,000/-
Mbona ipo juu sana 🤷
Noted kaka. Unashauri ukubwa upi mkuupunguza size ya nyumba...
Hiyo mwanawane unahamia kabisaIpo 28M mkuu. Kiwanja kipo Babati eneo flat kabisa.
EwaaaaaaaHiyo mwanawane unahamia kabisa
Na nyumba sii kubwa20x18x600,000=216,000,000/-
Mbona ipo juu sana 🤷
Acha ukiherehereSiku hiz na wewe ni fundi
Umeacha ualimu?
😁😁😁😁😁😁Acha ukiherehere
Ya kisasa mkuuInategemea na nyumba unayoihitaji.
Ya kisasa au Ya kawaida?
Hio inamaliza kabisa na unahamia kama utapiga ya kawaida tuIpo 28M mkuu.
Kwa vyumba vitatu inatosha, labda sijajua gharama za material kulingana na mkoa uliopo ..Ya kisasa mkuu
Nyumba mita 20 kwa 18?? Hiyo nyumba au godown?20x18x600,000=216,000,000/-
Mbona ipo juu sana 🤷
Kubwa sana hii, pia vipi unatumia tofali gani za choma au za block???20x18x600,000=216,000,000/-
Mbona ipo juu sana 🤷
Nyumba ya vyumba vitatu ndio iwe na sqm 360? Omba uchorewe ramani ya sqm 100-120Habari za leo wana JF.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kufahamu makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa ya vyumba 3 (Kimoja master na viwili vya kawaida), sebule, dinning, jiko, store na Public toilet.
Cheers
Asante sana kwa ushauri mkuuNyumba ya vyumba vitatu ndio iwe na sqm 360? Omba uchorewe ramani ya sqm 100-120
Asante kwa ushauri mkuu. NimeupokeaKubwa sana hii, pia vipi unatumia tofali gani za choma au za block???
Kwa ushauri tu, kwa hizo specification minimize iwe less than 170 sqm.