Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

Vp tunaweza fanya kazi ya paa kuweka hizo kitu mkuu! tumeipenda hiyo design...maana kuna nyumba ya familia inaleta shida...na fundi wa kitaaa anasema itawekwa cement haitavuja. Tunataka tumkatae, mafundi wanatofautiana na technology pia.
Tafuta fundi mtaalam wa kupaua hizi contemporary, siyo fundi wa kupaua tu. Na hakikisha kwenye makutano ya paa na tofali mnaweka Bitumat Synroof HB+Bitumat fabric, hii ni muhimu kuliko hata hiyo kuflash.

 
Tafuta fundi mtaalam wa kupaua hizi contemporary, siyo fundi wa kupaua tu. Na hakikisha kwenye makutano ya paa na tofali mnaweka Bitumat Synroof HB+Bitumat fabric, hii ni muhimu kuliko hata hiyo kuflash.

Thank you.
 
Ndio hii.
Cjui bei ila namba zao zipo kwenye picha. Wapigie
Screenshot_20220615-160125_Google.jpg
 
Wewe umepatia wapi? tunaomba muongozo wako
Hujafeli ila yeye ameshindwa kujua kuwa mchoro wako wa umwagaji wa maji na WA kwake ni vitu viwili tofauti
Yeye amezungusha mfereji nyumba yoote na mwingine kauweka kati,ilhali wewe umeweka katikati ya nyumba pekee,hivyo ni sanifu (design)mbili tofauti
 
Mi nimetoka kupaua contemporary juzi 3 bedrooms [emoji16]
Ambaye anataka info au ana maswali au doubts zozote anicheki 0765658383 WhatsApp nitamsaidia In sha AllahView attachment 2265506View attachment 2265507View attachment 2265508View attachment 2265509View attachment 2265510View attachment 2265511View attachment 2265512View attachment 2265513View attachment 2265514
Safi ila pia kuna jambo unatakiwa ulifanye hapo juu kuzuia maji
Shida nyingine za hizi nyumba si kuvuja pekee ila pia ni ukuta kupata unyevu mwingi kiasi cha kuharibu muonekano
 
Hujafeli ila yeye ameshindwa kujua kuwa mchoro wako wa umwagaji wa maji na WA kwake ni vitu viwili tofauti
Yeye amezungusha mfereji nyumba yoote na mwingine kauweka kati,ilhali wewe umeweka katikati ya nyumba pekee,hivyo ni sanifu (design)mbili tofauti
ishu sio kuweka mfereji kati au pemben tatizi ni kuchimbia bati kwenye ukuta ndio badae kunavujisha
 
Unaona wapi pamechimbiwa bati wewe? Hiyo ya pembeni ni SYNROOF siyo cement
Nilitaka pia kumuuliza hilo swali.....maana hakuna sehemu iliyoonekana kuwa mleta picha amechimbia bati kwenye ukuta
 
Vizuri, unaweza kutusaidia kwenye hili ttzo,kutuelekeza mfereji unatakiwa uwe na vipimo gani vya ujazo na kwa ukubwa wa paa wa sq ngapi
Jamaa ako anajifanya mjuaji sana na unakuta hata kupaua hivyo hajawahi [emoji23]
 
Back
Top Bottom