Mark Shafii
Member
- Dec 15, 2021
- 35
- 55
Hilo Gutter dogo kwa 3 bedrooms? Howtf?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana kiongoziHilo Gutter dogo kwa 3 bedrooms? Howtf? View attachment 2266558View attachment 2266560
Na bitumen au bitumat kazi yake kuzuia kutu na kuoza Kwa bati sindio mkuuTafuta fundi mtaalam wa kupaua hizi contemporary, siyo fundi wa kupaua tu. Na hakikisha kwenye makutano ya paa na tofali mnaweka Bitumat Synroof HB+Bitumat fabric, hii ni muhimu kuliko hata hiyo kuflash.
Concrete gutter au duct way ni Bora uiweke pemben sana coz apo itakuja leta shida ata kama sio Kwa haraka ila unyenyevu utakua mwing au utmie nylon kulitandika apo chin then umwage kizege umix na sikalite apo Kwa ninvyo Fanya mkuu nimeona matokeoJe n uyu?
View attachment 2265895
Sitasahau fundi alinaimbia kupiga plasta tu nyumba ya vyumba vi3 milioni 4Tatizo lipo kwa mafundi wenyewe! Mnatoa bei za kukomoana! Nani alikuambia ww kunijengea nyumba yangu ndio unaponea kutatua matatizo yako yote? Muwe reasonable bana mfyuuuuu 😡!
Daaaah alikuchukuliaje?Sitasahau fundi alinaimbia kupiga plasta tu nyumba ya vyumba vi3 milioni 4
Alijua nafanya kazi BOT, nikampotezeaDaaaah alikuchukuliaje?
Hii ni nzuri, ila Gutter kuzunguka nyumba nzima ni bora zaidiHilo Gutter dogo kwa 3 bedrooms? Howtf? View attachment 2266558![]()
Ni Uzi wa zamani Ila nikichangia maada sio tatizo.Tatizo lipo kwa mafundi wenyewe! Mnatoa bei za kukomoana! Nani alikuambia ww kunijengea nyumba yangu ndio unaponea kutatua matatizo yako yote? Muwe reasonable bana mfyuuuuu [emoji35]!
Pambavu zao kabisa, kelele zote za kwamba nyumba hizo zinavuja sana kumbe hawaweki zege juu? Mimi kila nikisoma na kusikia habari za kuvuja huwa najiuliza sana, how comes zege la nyumba hizo tu ndiyo livuje? Mbona maghorofa hatuyasikii yakivuja?Sure mkuu unamwita tu mtaalamu anakusaidia mahesabu kwa mzigo huo wa slab marefu na mapana kutokana na nyumba yako utahitaji nguzo ngapi nondo ngapi mm ngapi maana si ghorofa chap unasahau kbs hizi mbwembwe za slope sijui material gani na gani ni temporary tu unaweza jikuta material yote hayo plus bati mbao gati unachosevu ni kdg sana.ukiweka zege umemaliza ila huu mpango mwingine baada ya miaka kadhaa lazima uvue uvalishe tena,hili zoezi utarudia na kurudia kila baada ya muda,ukija kujumlisha cost baada ya kipindi flani unaweza ukakuta umeenda maradufu ya gharama ya awali,tukumbuke material hupanda bei kila siku pia.Leo si sawa na jana.
Kwahio ulifuata ushauri wa mke na watoto?Nimejenga hiyo contemporary baada ya mke na watoto kutaka mtindo huo japo niliwatahadhalisha kwa uzoefu wa kusikia uvujaji wake....nikakubaliana nao ila iwe ni ya mapaa mawili tuu na imejengwa na tukakubaliana hatuweki gypsum board mpaka msimu wa masika upite ili tuone wapi na wapi kuna vuja na nini cha kufanya kudhibiti huo uvujaji
Masika ndo hii,uvujaji kiasi (kwa matone)upo kwenye misumari km sehemu tano,fundi aliipiga kwa pembeni ya mbao,gutter (mfereji)unakuwa na unyevu kiasi kuna sehemu mpaka kunadondosha matone ya maji na kunakuwa na unyevu kwenye tofali za juu kulipochimbiwa bati (kuna sehemu humu nimesoma kuwa ni kosa kuchimbia bati)
Kwa muktadha huu naombeni ushauri wa nini cha kufanya au nani(experts)wa kuwaona sio mafundi mchundo