Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

Tafuta fundi mtaalam wa kupaua hizi contemporary, siyo fundi wa kupaua tu. Na hakikisha kwenye makutano ya paa na tofali mnaweka Bitumat Synroof HB+Bitumat fabric, hii ni muhimu kuliko hata hiyo kuflash.

Na bitumen au bitumat kazi yake kuzuia kutu na kuoza Kwa bati sindio mkuu
 
Tatizo lipo kwa mafundi wenyewe! Mnatoa bei za kukomoana! Nani alikuambia ww kunijengea nyumba yangu ndio unaponea kutatua matatizo yako yote? Muwe reasonable bana mfyuuuuu 😡!
Sitasahau fundi alinaimbia kupiga plasta tu nyumba ya vyumba vi3 milioni 4
 
Tatizo lipo kwa mafundi wenyewe! Mnatoa bei za kukomoana! Nani alikuambia ww kunijengea nyumba yangu ndio unaponea kutatua matatizo yako yote? Muwe reasonable bana mfyuuuuu [emoji35]!
Ni Uzi wa zamani Ila nikichangia maada sio tatizo.
Kuna jamaa mmoja Tanga, alikwepa gharama ya wataalam Kama 2M hv, akatoa kazi kwa fundi sababu alisema anaweza. Fundi akaharibu kazi kwa kuchakachua ratio za materials kuanzia nondo, cement ya plaster, n.k (maana ni ghorofa). Nyumba ilibomolewa mpaka slab na kuanza upya. Marekebisho yote yamekula around 30M.
So, endeleeni kukimbia wataalam.
NB: sio kila fundi ni mwizi/sio mwaminifu kitaaluma na kipesa pia.
 
Pambavu zao kabisa, kelele zote za kwamba nyumba hizo zinavuja sana kumbe hawaweki zege juu? Mimi kila nikisoma na kusikia habari za kuvuja huwa najiuliza sana, how comes zege la nyumba hizo tu ndiyo livuje? Mbona maghorofa hatuyasikii yakivuja?
 
Kwahio ulifuata ushauri wa mke na watoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…