Gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa vyumba 3 Mwanza

Gharama za ujenzi wa nyumba ya kisasa vyumba 3 Mwanza

Nipo mwanza sio mwenyeji sana ila nimefanikiwa kupata kiwanja sehemu.

Napenda kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu...!! Hadi inaisha.

Mwenye ujuzi tafadhali ntafurahi tukishare pamoja... Asante.
Mpaka inaisha kwa nyumba yenye standard ni milion 50-60
 
Tawi la MOSHI na DODOMA

Soon Litafunguliwa

Chini ya Kampuni ya ONE2ONE FOCUS

ONE 2 ONE FOCUS.CO LTD ni Kampuni ya Kizalendo ,iliyosajiliwa na BRELA kwa Hati Namba ya Usajili 127281 na TIN Namba :
131-202-040.

Kampuni inajishughulisha na:
1.Ujenzi wa Majengo Mbalimbali.
2.Upimaji wa Viwanja
3.Utengenezaji wa Ramani.
4.Uuzaji wa Viwanja.

Kwa Ujenzi wa Nyumba Tunakujengea na Kufanya Finishing Kuanzia Hatua ya Awali Mpaka Mwisho wa Ujenzi.

Pia Katika Ujenzi Huo Tunakuwekea:-
1.Uwiano Mzuri wa Cements
2.Nondo za mm 12 ,mm 16 na mm 24 za Chuma Kulingana na Aina ya Ujenzi.
3.Mbao imara i.e Mikaratus,Saiprus
4.Mabati imara Kutoka Nje ya Nchi
5.Tiles Daraja la Kwanza.
6.Tunaweka Gypsum
7.Tunaweka Fremu,Milango
8.Milango ya Mbele na Nyuma Kuwekewa Grill.
9.Tunaweka Fitting za Makabati,Mifumo ya Maji,Makabati ya Jioni.
10.Wiring ya Umeme.

Tupigie kwa:-
0715-908698(Whatsapp/Call)
0759-538688(Call)

OMARI RAJABU
MARKETING OFFICER
ONE2ONE FOCUS
MAKUMBUSHO COMPLEX
DAR-ES-SALAAM

Pia Tuna Ofisi Jiji la Mwanza
BUZURUGA COMPLEX
MWANZA

Mkoa wa Arusha
NAMVUA PLAZA
Floor ya 4

Kwa Majengo Bora,Imara kwa Gharama Nafuu Usisite Kutupigia

0715-908698(Call/Whatsapp)
0759-538688(Call Only)
0629-955992(Halotel Call)

NB:Tunajenga Mkoa wowote
 
Mie Nahitaji kiwanja Mwanza atleast kuanzia 30x30 na kuendelea
 
Nakushauri uwaone Mellow Architects wako Isamilo. Pale wako vijana walioboboea katika fani ya ujenzi kuanzia wachoraji, wakadiriaji wa majengo, wasanifu nk. au mpigie Ndugu Marwa 0768774624 au Mjwahuzi 0754808814 au Muya 0769360859. Hawa watakupa makadiro ambayo error inaweza kuwa +1 or -1.
 
Ww huhitaji kujenga ila umeleta maada ili watu wapotezee epo muda tu.
30m sio kitu kwa ujenzi wa sasa.
Tafuta wataalam wa ujenz hapa unatupotezea muda tu.
 
Mil 30. ndogo mno mkuu. Wala haifiki popote. Mleta mada kasema ya kisasa. Labda aseme sq mita ngapi anataka nyumba yake. Mie nina nyumba ya vyumba 3 vya kulala Sq mita 306 nimebakisha kuweka Gypsum nimeishatumis 56mil na hapo ni Dar ambako vifaa vya ujenzi ni nafuu ukilinganisha na mwanza
Wamekuibia au unadanganya.
 
Tawi la MOSHI na DODOMA

Soon Litafunguliwa

Chini ya Kampuni ya ONE2ONE FOCUS

ONE 2 ONE FOCUS.CO LTD ni Kampuni ya Kizalendo ,iliyosajiliwa na BRELA kwa Hati Namba ya Usajili 127281 na TIN Namba :
131-202-040.

Kampuni inajishughulisha na:
1.Ujenzi wa Majengo Mbalimbali.
2.Upimaji wa Viwanja
3.Utengenezaji wa Ramani.
4.Uuzaji wa Viwanja.

Kwa Ujenzi wa Nyumba Tunakujengea na Kufanya Finishing Kuanzia Hatua ya Awali Mpaka Mwisho wa Ujenzi.

Pia Katika Ujenzi Huo Tunakuwekea:-
1.Uwiano Mzuri wa Cements
2.Nondo za mm 12 ,mm 16 na mm 24 za Chuma Kulingana na Aina ya Ujenzi.
3.Mbao imara i.e Mikaratus,Saiprus
4.Mabati imara Kutoka Nje ya Nchi
5.Tiles Daraja la Kwanza.
6.Tunaweka Gypsum
7.Tunaweka Fremu,Milango
8.Milango ya Mbele na Nyuma Kuwekewa Grill.
9.Tunaweka Fitting za Makabati,Mifumo ya Maji,Makabati ya Jioni.
10.Wiring ya Umeme.

Tupigie kwa:-
0715-908698(Whatsapp/Call)
0759-538688(Call)

OMARI RAJABU
MARKETING OFFICER
ONE2ONE FOCUS
MAKUMBUSHO COMPLEX
DAR-ES-SALAAM

Pia Tuna Ofisi Jiji la Mwanza
BUZURUGA COMPLEX
MWANZA

Mkoa wa Arusha
NAMVUA PLAZA
Floor ya 4

Kwa Majengo Bora,Imara kwa Gharama Nafuu Usisite Kutupigia

0715-908698(Call/Whatsapp)
0759-538688(Call Only)
0629-955992(Halotel Call)

NB:Tunajenga Mkoa wowote
[/QUOTE
 
Mpaka inaisha kwa nyumba yenye standard ni milion 50-60
Acheni kutisha watu nyinyi,labda kama mleta mada anataka nyumba ya kufugia tembo,ila kama ni nyumba ya kawaida ya kuishi binadamu na yenye hadhi million 25 akisimamia mwenyewe ujenzi kwa mwanza anadondosha kitu kikali cha vyumba vitatu na makoro koro mengine ndani CHA MSINGI ASIPENDE MAKUU KUONA FULANI ANA NYUMBA YA SQM 500 NA YEYE ANATAKA KUJENGA YA NAMNA HIYO,jenga kulinganana na hela yako.Nina uzoefu na ujenzi wa mwanza hadi sasa nimeshatumia mil 15 na kidogo nyumba ya SQM 110 ina vyumba vitatu kimoja master,choo na bafu vya umma,dinning na sebule kubwa tu,jiko nitalijenga nje.Nasubiri mwezi December nikamalizie kufanya finishing ya tiles,gypsum board,plumbing,rangi nitapiga ndani nje nitapaacha kwanza na fundi kanifanyia tathimini inaweza nigharimu 5-6 millions. MLETA MADA WASIKUTISHE HIYO MIL 30 UNAJENGA NYUMBA NADHIFU NA CHENCHI INABAKI YA KUTOSHA.Angalizo,usitume pesa ili ujengewe utalia kilio cha mbwa koko,simamia mwenyewe mwanzo mwisho na materials usimpe fundi afuate fata mwenyewe na ulizia maduka tofauti tofauti ili kupata sehemu yenye bei nafuu.
 
Back
Top Bottom