Gharama za umalaya...

Gharama za umalaya...

Opportunity Cost ya kufanya umalaya ni hii hapa.......

Unakumbuka nilipost thread ya kuelezea kwanini utumie pesa mingii sababu ya just one night eti kisa mbunye..!!!

Sasa instead ya KUHONGA Fanya hivi....
1. Kusanya (save) zile pesa unazotumia kula papuchi na kuhonga.
2. Punguza matumizi yasio na lazima.
3. Na mwisho wa siku INVEST.
Kifupi kuwa cost conscious (economist) and not miser.

Mfano:-
Mimi nime invest kwenye kilimo cha Parachichi (nina eka 15 za Hass avocadoes).
Malengo ni eka 100 mwaka 2025, then nina miaka 6 ya kupanda mfululizo.

Japo kuvuna bado sanaa (nimeanza mvua hizi zilizopita), ila mpaka sasa nina mteja mmoja (kampuni ya Ku export).
Wakati naanza alikuja kunitembelea kuona my project na kuahidi kunipa soko, pia kuna mteja mwengine/mzungu bado sijamfata (nataka kumfata mwakani niongee nae).

Then kwenye mambo ya soko muda ukifika nitaweka mizani wateja wotee na kuona nani ana offer best price.

Nimeamua kuyapa MAPENZI LIKIZO na kwasasa NAPAMBANIA KOMBE ""My Future"" maana niliona ajira ya serikali HAITONIFIKISHA KOKOTEE zaidi ya kuwa kuhadi wa CCM.
Pamoja na Masters yangu niliyoitumikia serikali ya CCM ila nimeamua kuachana nao na kuingia shambani.

PAPUCHI na LOVE RELATIONSHIP NIMEZIPA LIKIZO....
Sio kwamba sihitaji partner ila nahisi wanawake watanichelewesha na pia nazipenda sanaa hela zangu na ndio maana kila cent nikiipata naitupia shambani.

Hebu fikiria.....
Mara imetokea nahitaji mbolea na muda huohuo baby nae anataka hela ya kusuka HUONI hapa kutakua na element za kucheleweshana?

Hujachelewa na MAAMUZI NI YAKO kijana mwenzangu.

Kwa MSIOKIPENDA KILIMO NA MNAKIPONDA KILA SIKU, NITAKUJA NA THREAD ""KWANINI UNAFELI KWENYE KILIMO""

ETI...
Kikao cha kuteua majina ma5 kinaendelea, ila first figure si alishasema majina anayomfukoni?
Kupita kwako itategemea siku hiyo ameamkaje.
Sasa kule kwenye kikao wameenda kula tu posho au kuzurura, maana majina first figure anayo.

#YNWAView attachment 1497427View attachment 1497441

Hapo kama umefanya utafiti mzuri kuhusu maji na issues related to that komaa utafanikiwa, yaweza kuwa njia ngumu na ndefu ila yawezekana tu
 
Boss..Hiyo mbegu ya mparachichi inachukua muda gani mpaka unakujua kuvuna ?
Hii ni mbegu iliyofanyiwa budding.. Mtaani huita ya kisasa.
Muda wake wa mpaka mavuno inategemea na utunzaji wake.
1. Ukitunza kitaalamu mwaka wa 2.5 unavuna.
2. Ukitunza kibahili kidogo tegemea mwaka wa 3.
3. Ukiyaacha yajilee yenyewe na yakafanikiwa kujilea basi mwaka wa 4.

Ila kibiashara FATA USHAURI WA KILIMO BORA (1).

#YNWA
 
Nia yako imeeleweka,swala hapa sio papuchi. Umetaka tu kujisifia,ujulishe unachokifanya. Kuna mtu gani siku hizi anahonga kiasi cha kumaliza hela ya kuwekeza kwenye mradi kama huo?.
 
Nia yako imeeleweka,swala hapa sio papuchi. Umetaka tu kujisifia,ujulishe unachokifanya. Kuna mtu gani siku hizi anahonga kiasi cha kumaliza hela ya kuwekeza kwenye mradi kama huo?.
Unadhani nitajibu nini basi...
Ubarikiwe mwenye IQ kubwaa ya kujua malengo ya mtu aliye nyuma ya keyboard.

#YNWA
 
Hapo kama umefanya utafiti mzuri kuhusu maji na issues related to that komaa utafanikiwa, yaweza kuwa njia ngumu na ndefu ila yawezekana tu
Yes aendelee kupambana ..but papuchi awe anazitafuna kiasi ..asiziasi kabisa .. Ikitokea akafariki na ugumu wake atakosa hata chakwenda kusimulia huko kuzimu

La msingi anapaswa kubalance mambo yake hard work kwa sana ..papuchi kiasi
Akiachana na papuchi kabisa atakuwa anainyima m300 haki yake ya msingi ..kila kiungo kinapaswa kufanya kazi iliyokifanya kiwepo mwilini
 
Hapo kama umefanya utafiti mzuri kuhusu maji na issues related to that komaa utafanikiwa, yaweza kuwa njia ngumu na ndefu ila yawezekana tu
Kabla sijaingia nilisoma kilimo kwa miaka mi4 (elimu mitaani).
Nilianza kusoma kilimo 2015 kwa kuongea na raia pamoja na kuingia field kwenye mashamba ya watu.
Na 2019 nikaingia kwenye game.

Japo life is uncertain ila naamini nitafanikiwa tu.

#YNWA
 
Samahani....
Akili ndogo inanisumbua genius.

#YNWA
Sijasema mimi genius.Ninukuu usemi wako " Akili yako haionyeshi matumaini ya kutusua". Ulimaanisha nini kama si wewe una akili kubwa kuliko??? Yote nakutakia heri!
 
Sijasema mimi genius.Ninukuu usemi wako " Akili yako haionyeshi matumaini ya kutusua". Ulimaanisha nini kama si wewe una akili kubwa kuliko??? Yote nakutakia heri!
Na kilimo cha PDF ulimaanisha nini?
Kwamba in reality HAIWEZEKANI?
#YNWA
 
ujui kiswahili chifu( fakini wewe)🤣😆😆
Opportunity cost is the value incurred for forgoing certain decision for the purpose of the other.
In decision making:- Observe/discus on the benefit between.

#YNWA
 
Kabla sijaingia nilisoma kilimo kwa miaka mi4 (elimu mitaani).
Nilianza kusoma kilimo 2015 kwa kuongea na raia pamoja na kuingia field kwenye mashamba ya watu.
Na 2019 nikaingia kwenye game.

Japo life is uncertain ila naamini nitafanikiwa tu.

#YNWA

Utafanikiwa tu, But challenge zisikufanye uache, kuna mradi nilifanya kwa miaka 15 kila mtu alidharau, lakini sasa kwa miaka 40 niliyonayo naona kama ndo my retirement plan!
 
"It is easily said than done!" Nisaidie kutafsiri kiswahili nilipata "F". TEH,TEH,TEEEH!
We are doing it.....
IMG-20200629-WA0002.jpg

Karibu field.
KILIMO KINALIPA.

#YNWA
 
Utafanikiwa tu, But challenge zisikufanye uache, kuna mradi nilifanya kwa miaka 15 kila mtu alidharau, lakini sasa kwa miaka 40 niliyonayo naona kama ndo my retirement plan!
Amen

#YNWA
 
Hongera, ila Gharama za umalaya ni zipi hapo Mkuu..? na ni malaya wa wapi..?

Title ya Uzi inachanganya
 
Back
Top Bottom