Gharama zinazotozwa Muhimbili Hospital kuwahudumia “Watoto njiti” zinatuumiza tunaouguza

KUZALISHA kwa usalama hilo ni jukumu la Serikali
ILA
Malezi ya MTOTO hilo ni jukumu laki
 
Furahia uliyebarikiwa wewe, anzisha nyuzi yakwo uyaandike haya.
Hapa ndipo mnaposhindwa.

Badala ya kujadili hoja mnajadili mtoa hoja.

Mimi nimeleta hoja dhahania, ila wewe umeshindwa kuona hoja unaona mtoa hoja tu.

Na wala sijasema nimebarikiwa, sijui umetoa wapi hilo.

Na sina haja ya kuanzisha uzi, uzi tayari upo huu. Usinifanyie censorship kwa sababu hupendi hoja zangu tu.

Kama unaweza kuzijibu, zijibu hoja.

Usinifunge mdomo nisitoe hoja zangu ninavyopenda mimi.

Tatizo watu wanapenda kuzaa bila mpango. Wanazaa kama bahati nasibu tu. Wanazaa kwa kusema "kila mtoto anakuja na riziki yake". This is the problem.

Uzazi wa mpango kama zero vile.

Of course mkizaliana kibahatibahati kwa mashindano kama sungura lazima mfumo wa public health support system u fail na gharama ziwe juu sana.

Hamna insurance scheme ya kueleweka, hamna tax base ya kueleweka, hamna exports za kueleweka, mnazaa sana bila mpango.

Mtatoboa vipi hapo?

Lazima pawe na kizungumkuti.

Huo ndio ukweli wa mambo. Penda usipende.

Usinilaumu mimi, sijapanga hivyo mimi.

Mimi ni mjumbe nakuambia ukweli tu.
 
Yaani Umepata HASIRA kwa maisha yasiyokuhusu, mwenye pesa wewe unayewezs kuzaa muda wowote. Sasa sepa kafungue uzi wako, acha yanaowahusu walalamikie wanayotaka. Haujalazimishea kuandika yako kwa uzi wa mwingine na wewe hata haujapitia haya.
Sijapata hasira, nimeweka hoja za kidhahania tu.

Ila wewe kwa sababu ni guluguja huna ubongo wala uti wa mgongo unaona hoja za kidhahania ni hasira.

Huna uwezo wa kuelewa hoja za kifalsafa na kidhahania.
 
Aisee manoendelea kukuza familia Mungu awafanyie wepesi, mambo yamekua mengi.....
Nashukuru kuvuka hicho kikombe cha kutafuta uzazi na kujifungua bila changamoto salama
 
IVF ni gharama duniani kote..... ila swala la watoto njiti serikali inaweza kufanya jambo
Rais Samia hivi karibuni kalalamika kasi ya kuzaana Tanzania iko juu sana, serikali inaelemewa kutoa huduma za jamii.

Soma hapa kwa habari zaidi


Watanzania tunaongezeka kwa asilimia takriban 3 kila mwaka.

This is a ticking timebomb.

Kwa kasi ya kuzaliana ya sasa, kila miaka 24 idadi ya Watanzania inazidi mara mbili.

Yani kufikia mwaka 2048 tutakuwa tushafika zaidi ya watu milioni 130 kutoka idadi ya sasa ya kadiri watu milioni 65.

Hapo hapo mfumo wa huduma bora za afya ya jamii unategemea sana pesa za walipa kodi, Tanzania tax base ni ndogo, uchumi mdogo. Watu wengi effectively ni kama hawalipi kodi kabisa.

Na hawa masikini ndio wanaozaliana sana. Kuna mikoa wastani wa kuzaa ni watoto 7. Ina maana kuna familia mpaka leo zina watoto zaidi ya 10.

Sasa uchumi mdogo, kodi inayokusanywa ndogo, demands kwenye public health system kubwa, serikali itatoa wapi funds za kuweka resources katika hali kama hii?

Serikali yenyewe viongozi ndio hawa vipaumbele vyao ma VX.

Wananchi wenyewe ndio hawa hawana utamaduni wa kufikiri kwa kina na kuweka mipango endelevu.

Kila mtu anashindana kuzaa kwa style ya "kila mtoto anakuja na riziki yake".

Hapo lazima gharama zipande tu. Hakuna jinsi.

This is a natural reponse of an overwhelmed system that is choking from unplanned usage.
 

Haya yote kwa nini haukuandika mwanza!!! nasema tena acha watu na yao nchini. Unafikiri sijui kusoma maana yako nje ya BOKSI..!!!!
 
Sijapata hasira, nimeweka hoja za kidhahania tu.

Ila wewe kwa sababu ni guluguja huna ubongo wala uti wa mgongo unaona hoja za kidhahania ni hasira.

Huna uwezo wa kuelewa hoja za kifalsafa na kidhahania.

Maneno yako hayo ona sasa ulivyo.. Uzi wanaoyaishi wanaandika yao wewe unakuja na yako.. Ungeupita uzi huu ungepungukiwa nini? Umeandika nakusema wewe.. 😅😅😅😅 Umeshindwa una anza kuniita yale yote unajua wewe.. Ukweli nimekupa acha HASIRA kwa maisha ya watu. Waandike wazaliane wawe na pesa hawana wewe inakuuma nini. Umejaa HASIRA kwa issue hata unadai wa pesa haikuhusu..

Umeandika maneno machafu mie najua umejiongelea sijui ikoje eeeh umeyajuaje kama wewe haupo hivyo... 😅😅🤣🤣🤣🤣 Wa pesa weye.. Leo wasio nazo wanakutoa pangoni..
 
Wewe guluguja huna ubongo wala uti wa mgongo, huwezi kunielewa.

Sishangai kwamba hunielewi, nitashangaa ikitokea ukanielewa.

Na hapa nakupeleka ignore list sitaona tena unachoandika kuanxia hapa.

Na nitaandika popote ninapotaka hunifanyi kitu.
 
Maisha ya watanzania wengi hasa waliojibana huko dar ni magumu sana,je waache kuzaa kwa k
Sababu ya maisha yao?
Mi naona serikali ingetenga fungu angalau wawaboost.
 
Maisha ya watanzania wengi hasa waliojibana huko dar ni magumu sana,je waache kuzaa kwa k
Sababu ya maisha yao?
Mi naona serikali ingetenga fungu angalau wawaboost.
Serikali itenge fungu kutoka wapi wakati imeelemewa na mambo mengi, watu hawalipi kodi, uchumi mbovu.

Hivi mnafikiri serikali inatenga fungu kwa mazingaombwe?
 
Hizo ni gharama zinafukuzana karibu kqbisa na za Agakhani.m6 kwa wiki mbili tena kwa mtoto.au mimi sijaelewa
 
Aanze na ndugu zake wa kuoa wake wengi na kuzaa kama kitimoto. Awapige marufuku hao
 
Kaongea na nchi nzima kwa hivyo na wao wamo.
Kwa kauli hiyo hana tofauti na mtu ambaye atamwambia mwenye njaa, "haya na ukashibe". Ni sawa na kusema, "acheni madawa ya kulevya. Yana madhara"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…