Ghetto Qura'n na kisa cha 50 Cent kupigwa risasi..


watu weusi akili zetu tunazijua wenyewe, unamtuma mtoto wako akakununulie madawa ya kulevya? bahati nzuri 50 alikuwa na self discpline la sivyo na yeye angekuja kuwa teja tu!
 
watu weusi akili zetu tunazijua wenyewe, unamtuma mtoto wako akakununulie madawa ya kulevya? bahati nzuri 50 alikuwa na self discpline la sivyo na yeye angekuja kuwa teja tu!
Usiseme watu weusi sema masikini!!..Kuna masikini weupe nao wanafanya hayo hayo!..
50 alikuwa na ndoto sana toka kadogo lasivyo angekuwa teja kama R.Kelly
 
Duh R.kelly ni mteja sahivi?
Usiseme watu weusi sema masikini!!..Kuna masikini weupe nao wanafanya hayo hayo!..
50 alikuwa na ndoto sana toka kadogo lasivyo angekuwa teja kama R.Kelly
 
ebhana wee yani huko wanauana tu kama kawaida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…