Ghetto Qura'n na kisa cha 50 Cent kupigwa risasi..

Utajiri alionao Didy 50 ataishia kuuota ndotoni tu
Mwaka 2007 forbes walimpa namba 2 50 nyuma ya Jay Z mwaka 2017 nazani Didy- 1 jay Z-3 lakini kushangaza kuna ingizo la Drake top 5!..
Kusema mtu flani utajiri wake utaishia ndotoni ni wewe kuota kweli!!.. Kuingiza mkwanja ni mipango utakayopanga tu!. Leo hii Jeff Bezos kamzidi Bill gate utajiri, uliwahi hata kuota Jeff anaweza mzidi Carlos Slim?..
 
Columbia waliokuwa wameterminate mkataba wake baada ya kumsikia kwenye hiyo Mixtape walianza kumfatilia wampe mkataba mzuri zaidi!..Akawakatalia
 
Tena ni mchumba wa Kingoni mkuu. Papulu mkononi. He's a known snitch Upstate NY.
Nashangaa mapimbi humu wanampa sifa za kipuuzi.
R.I.P ma nigga PAC.
R.I.P ma nigga B.I.G.
The best that ever did it!
Sifa gani za kipuuzi tulizompa!?.. kati ya nilizotaja ipi sio yake?..
You think you know all while you don't!..
 
P. I. M. P ilileta impact gani kwenye jamii ya kizungu?
 
Legacy ya BOB Marley haipo kwenye kuvuta Ndumu. Dont get fooled. Keep on smoking and expect kuacha legacy kwenye Mapafu yako.
 
Unawajua watu kama Krs One,M.O.P,Rakim,Immortal technique n.k
 
Duuuuhhhhh,noma sana...huwa kuna movie fulani ya 50 Cent siifaham kwa jina lkn ndani yake huwa kuna mauaji sana na matumizi ya madawa wa kulevya,kama unaifaham kwa jina naomba unifahamishe!
Hiyo movie itakuwa Before I self destruct au Set up
 
Kumbe hujaelewa,50 Alisha sign Columbia"During the more recent MTV interview, 50 was asked what he and Stoute discussed during their confrontation. “I said, ‘That wasn’t very nice of you, Steve. To say what you said wasn’t really nice, and I think you should apologize.’…Nah, I said it a little different,” 50 Cent says.

Stoute signed 50 Cent to Columbia Records in the 1990s. The rapper was shot in 2000 and subsequently released from the label’s roster. 50 Cent says Stoute, who went from Columbia to Interscope, did not sign him a second time.

“He was running Interscope at the time,” 50 says. “When I tried to play him the music, he was like, ‘Oh no, I already know what you can do, I already know what you can do. Remember, I signed you the first time"
 
JAMAA STORY TELLER MZURI SANA WEWE..BIG UP BRO
 
Sifa gani za kipuuzi tulizompa!?.. kati ya nilizotaja ipi sio yake?..
You think you know all while you don't!..
Huna lolote wewe! Ongelea habari za kina Juma Nature na Mc Pilipili ndio unayoyaweza. Mkiwa kwenye vijiwe vya kahawa mnaporojokaaaa na kujazana milimau tele.
 
P. I. M. P ilileta impact gani kwenye jamii ya kizungu?
Hivi unajua Connecticut kuna siku maalum ya kumkumbuka 50 cent inaitwa " 50 Cent Curtis Jackson Day" jamaa alipewa na Meya wa Jiji funguo ya Jiji!..
October 12
Sawa na leo tuchukue msanii tumpe siku yake kumkumbuka Dsm na tumpe funguo ya Jiji!..
 
Huna lolote wewe! Ongelea habari za kina Juma Nature na Mc Pilipili ndio unayoyaweza. Mkiwa kwenye vijiwe vya kahawa mnaporojokaaaa na kujazana milimau tele.
Ukiwa na point karibu!!..
 
Wakati Beef la 50 na Fat Joe limefika pabaya,Fat Joe akaongea na vyombo vya habari anamuomba 50 beef liwe kwenye nyimbo Tu wasije wakataftana mtaani coz anajua Curtis mtu WA aina Gani..FIF,FERRARI..daah mmenikumbusha years ago
Ha ha ha kumbe Joe Crack ni muogaaaaa
 
Mkuu huyu 50 atakuja kurudi kweli? Aliyemshoot kiukweli ukweli anaitwa Homo na hapo kwenye many men anasema Homo shoot me.....
 
Unamzungumziaje Rakim katika kuandika mkuu, me naona hakuna anayegusa hapo sema tu hao wengine wamefanikiwa kujitangaza zaidi.
 
ha ha fifty kafilisika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…