House4Sale Ghorofa linauzwa-Mbezi beach (Jogoo)

House4Sale Ghorofa linauzwa-Mbezi beach (Jogoo)

Masikhara hayo, hiyo nyumba kwa hapo ilipofikia gharama yake haizidi hata bei ya kiwanja ilichokalia hapo, so probably ungeuza si zaidi ya mil 200 ingekuwa logic, ila mil 600??? Dr shika huyu Mungu anamuona.
 
Hahahaaaaa wadau mbona mnaponda ghorofa letu....nipeni namba ya dr.shika basi
 
100m nakupa nw......ila kwa bei hiyo dah....
 
Hiyo nyumba thamani yake mpk hapo ilipofikia haijafika milioni 120. Tuchukulie kiwanja ni milioni 30 na ukiweka na faida milioni 15 inatakiwa kuuzwa labda milioni 165 na si Zaidi ya hapo
Kwenye Kiwanja Ongezea 35Mil ingine, ili total ifike 200Mil
 
Aroo, bora nikawahi mnadani kwa yono.

Huku vyuma vimekaza.

Nyumba ndogo, haijaisha haina uzio, haina umeme, kiwanja kidogo afu bado raia unAdai 700.

Si bora tu nikaenda kwa lugumi aisee.

Yaani kule nanunua nyumba finished na kila kitu ndani.

Mleta mada ukajipange
 
nenda bank ukaombee mkopo kisha temana nayo
au trngeneza scenario kisha iuze kwa njia ya mnada. ni hayo tu
 
Hiyo nyumba thamani yake mpk hapo ilipofikia haijafika milioni 120. Tuchukulie kiwanja ni milioni 30 na ukiweka na faida milioni 15 inatakiwa kuuzwa labda milioni 165 na si Zaidi ya hapo
Mkuu milioni 30 huwezi pata kiwanja MBEZI beach chenye hati. Pamoja na vyuma vya uncle magu hizo ni bei za Viwanja huko bunju, mbweni nk.tena medium to high density.
 
Nyumba ya Lugumi ya Mbweni leo ofa milioni 510 umeiona ilivyo?!!
Hapo weka bei milioni 120 tu
bbcc02d4aca804c7058105ad8a7712ad.jpg
 
Mleta uzi amesema maelewano kwa hiyo inapendeza kumwendea inbox mtaelewana tu bila shida
 
Kutokana na hali ilivyokaza kuna gari ipo hapa inauzwa bei ni maelewano baada ya ukaguzi lkn kwa ufupi ni gari inatembea vizuri na haina shida kwa wale wenye mashamba na shughuli za ufugaji. Anayeuza ameacha shughuli za ufugaji kwa hiyo gari ipo bila kazi
 
gari yenyewe ndiyo hiyo hapo na ipo Dar ukipendezwa nione inbox
 

Attachments

  • IMG-20171124-WA0033.jpg
    IMG-20171124-WA0033.jpg
    41.8 KB · Views: 43
  • IMG-20171124-WA0033.jpg
    IMG-20171124-WA0033.jpg
    41.8 KB · Views: 43
  • IMG-20171124-WA0039.jpg
    IMG-20171124-WA0039.jpg
    39.5 KB · Views: 44
  • IMG-20171124-WA0038.jpg
    IMG-20171124-WA0038.jpg
    50.6 KB · Views: 40
  • IMG-20171124-WA0037.jpg
    IMG-20171124-WA0037.jpg
    45.5 KB · Views: 39
Hata Nyumba za Lugumi kama asingekuwa Dr.Shika zingeishia mil400. Sasa wewe hata hujamalizia ikaitwa Nyumba unawazia 600m.

Hii hata aliyeijenga hajafikisha 380m.
Ila sawa, yawezekana iko mikononi mwa dalali.

Tuendelee
 
Liko Mbezi Beach-Jogoo ( mita 700 kutoka barabara kubwa).

Vyumba vitano vya kulala ikiwemo master bed room na baby room,sebule,dining,jiko na store

Nyumba ina nyaraka zote muhimu

Bei ni Million 600(maelewano yapo). Mwenye kuhitaji ani Pm nimpe namba ya muuzaji na sio dalali (my Brother).

Karibuni sana

Mkuu hapo 900 itapendeza sio 600!
 
Back
Top Bottom