Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli...View attachment 3105246
Inawezekana ni kwasababu ya hali ya hewa, ghorofa za Ulaya Mara nyingi huwa hazina balcony.
😂😂😂😂😂Mbona haina Frame sasa?
Nifafanulie hii,bado mitatu nifike 50 na sijajengaNa ukifika 50 Kama hujajenga ghorofa basi weka master mester’s bedroom on a ground floor.
Maisha udwanzi sana,basi tu..unahangaika mwisho unazeeka hata kutembea huweziYaa ukifika 70 kupanda ngazi inaweza kua kipengele, kama master bedroom iko juu atakua analala dada wa kazi.
Kwa hiyo???View attachment 3105246
Inawezekana ni kwasababu ya hali ya hewa, ghorofa za Ulaya Mara nyingi huwa hazina balcony.
Unaongelea high rise buildings for urban residents or family homes?Most un affordable streets in london appartment zake zote zina balcony, Balcony proves wealth, a place to settle. Hii ya Africa kusema ndio inaongoza unatupiga chenga.
Family homes as well, hata appartments.. yaani nyumba ikishapandisha floor, weka balcony au chukua ya balcony.Unaongelea high rise buildings for urban residents or family homes?
Jibu hili hapa "Inawezekana ni kwasababu ya hali ya hewa, ghorofa za Ulaya Mara nyingi huwa hazina balcony"Unaenda balcony kufanya nini wakati kuna baridi,huku kwetu hali ya hewa inakulazimu uweke hiyo kitu ili upate kupoza mwili...View attachment 3105246
Inawezekana ni kwasababu ya hali ya hewa, ghorofa za Ulaya Mara nyingi huwa hazina balcony.
Balcony ni starehe ışıyo na gharama, piga picha mvua inanyesha wewe uko balcony na kikombe chako cha chai ya viungo. Gharama ni ujenzi tu.Jibu hili hapa "Inawezekana ni kwasababu ya hali ya hewa, ghorofa za Ulaya Mara nyingi huwa hazina balcony"Unaenda balcony kufanya nini wakati kuna baridi,huku kwetu hali ya hewa inakulazimu uweke hiyo kitu ili upate kupoza mwili...
Dah umenitamanisha balaa na hayo masuala ya balcony. Asante kwa ushauri.Balcony ni starehe ışıyo na gharama, piga picha mvua inanyesha wewe uko balcony na kikombe chako cha chai ya viungo. Gharama ni ujenzi tu.
70 yote we kobe,50 tu inatoshaYaa ukifika 70 kupanda ngazi inaweza kua kipengele, kama master bedroom iko juu atakua analala dada wa kazi.