Ghorofa za Afrika ni lazima ziwe na balcony, balcony huongeza gharama za ujenzi

Hata mim sjamwelewa mtoa mada
 
Jibu hili hapa "Inawezekana ni kwasababu ya hali ya hewa, ghorofa za Ulaya Mara nyingi huwa hazina balcony"Unaenda balcony kufanya nini wakati kuna baridi,huku kwetu hali ya hewa inakulazimu uweke hiyo kitu ili upate kupoza mwili...
Majengo mengi ya kizamani ndio walikuwa wanaweka Balconies kuanzia Georgian period
Leo ukiangalia hata Buckingham Palace ndio wafalme wote walikuwa wanasimama na familia zao

Hata majumba mengi ya ghali mno London ndio yenye Balcony na yapo kwenye National Heritage list ambapo hauwezi kubadili chochote ili kuchunga hadhi ya nyumba hizo
Balozi wetu pia wapo sehemu ghali sana ila sio zile za kwenye list kama hapo Pall Mall au St James karibu tu na ubalozi
Three bed ni £14m kwa zetu zero zitakuwa nyingi sana
 
Kabla ya kujengwa London Under ground rail hiyo mitaa ndiyo waliishi matajiri.
Matajiri wengi walihama mitaa ya Oxfords Circus na Piccadilly Circus kupisha ujenzi huu wa rail. Wengi walihamia Windsor na waliweza kununua ardhi na kujenga mihenği ya kifahari.
 
Ghorofa za Africa sio lazima ziwe na balcony. Zipo maelfu ya ghorofa hazina balcony huku africa
 
Vipi mnaendeleaje huko Piccadilly Circus?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…