Najua wengi mnakumbuka kura za maruhani kule Pemba zilivyoishangaza nchi yetu sasa ukistajabu ya Pemba ambapo maruhani walizaliwa baada ya kutokuwa na wagombea wa CUF ujayaona ya Nairobi.
Ghost voters (kura za mizimu) ndizo zilizomnufaisha rais Rutto ambapo zinakadiriwa kuwa zaidi ya 500k sawa na 3.5% ya kura zote.
Najua mtajiuliza kuwa mizimu ilipigaje kura. Lakini, pia mwahitajika kujiuliza kwa vipi maruhani walipiga kura kule Pemba.
Wote mkinyamaza mawe yataongea.
Kipo cha kujifunza hapa kwa wana CCM wenzangu ipo siku mizimu itafufuka kuja kututoa madarakani hata kama tunatumia udhaifu wa Watanzania kujisimika mamlakani ipo siku itafika tutatolewa.
Ghost voters (kura za mizimu) ndizo zilizomnufaisha rais Rutto ambapo zinakadiriwa kuwa zaidi ya 500k sawa na 3.5% ya kura zote.
Najua mtajiuliza kuwa mizimu ilipigaje kura. Lakini, pia mwahitajika kujiuliza kwa vipi maruhani walipiga kura kule Pemba.
Wote mkinyamaza mawe yataongea.
Kipo cha kujifunza hapa kwa wana CCM wenzangu ipo siku mizimu itafufuka kuja kututoa madarakani hata kama tunatumia udhaifu wa Watanzania kujisimika mamlakani ipo siku itafika tutatolewa.