mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Kwa hiyo unataka kusema kura zilichakachuliwa au? Naomba unielezee fitna zilimfanyaje mpk akashindwa?Sio dunia sema baadhi ya wazungu tu maana Africa,Asia na America kusini walitangaza kumuunga mkono mwarabu.ndo maana tunasema ni fitna.