OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
-Klabu ya Simba SC ya Tanzania sasa rasmi imekuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza kwenye mashindano ya CAF Champion League msimu 2022/23 kama msimu uliopita baada ya CAF kupitisha utaratibu wa vilabu 10 bora kuanzia raundi ya kwanza ya michuano ya CAF Champion League.
-Ubora wa vilabu kwa sasa Simba ipo nafasi ya 14 kama ifuatavyo (Al Ahly (01) ya Misri, Wydad (02) ya Morocco, Esperance (03) ya Tunisia, Raja (04) ya Morocco, RS Berkane (05) ya Morocco, Mamelodi (06) ya Afrika Kusini, Mazembe (07) ya DRC, Zamelek (08) ya Misri, Pyramids (09) ya Misri, Etoile (10) ya Tunisia, Orando (11) ya Afrika kusini, Horoya (12) ya Guinea, Petro de Luanda (13) ya Angola) na Simba SC (14) ya Tanzania
-Kwa Misri inatakiwa vilabu 2 kati ya vitatu (Al Ahly, Zamalek, Pyramids) kushiriki CAF Champion League, Morocco timu ya Berkane ameshindwa kufuzu kucheza CAF Champion League, Orlando naye hajafuzu kucheza Caf Champion League, Tunisia, Etoile Sahel hawezi kuzifikia pointi za Monastri ambayo ilimfunga jana kwa magoli 2-0. Hivyo timu 14 - 4 =10 ndio Simba imefaidika kuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza.
-Kwa mujibu wa kalenda ya CAF ratiba inaonesha raundi ya awali ya mashindano ya CAF (Caf Champion League na Caf Confederation Cup) yataanza August 12-14 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na August 19-21 michezo ya mkondo wa pili. Wakati raundi ya kwanza imepangwa kuanza September 9-11 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na September 16-18 michezo ya mkondo wa pili.
-Ubora wa vilabu kwa sasa Simba ipo nafasi ya 14 kama ifuatavyo (Al Ahly (01) ya Misri, Wydad (02) ya Morocco, Esperance (03) ya Tunisia, Raja (04) ya Morocco, RS Berkane (05) ya Morocco, Mamelodi (06) ya Afrika Kusini, Mazembe (07) ya DRC, Zamelek (08) ya Misri, Pyramids (09) ya Misri, Etoile (10) ya Tunisia, Orando (11) ya Afrika kusini, Horoya (12) ya Guinea, Petro de Luanda (13) ya Angola) na Simba SC (14) ya Tanzania
-Kwa Misri inatakiwa vilabu 2 kati ya vitatu (Al Ahly, Zamalek, Pyramids) kushiriki CAF Champion League, Morocco timu ya Berkane ameshindwa kufuzu kucheza CAF Champion League, Orlando naye hajafuzu kucheza Caf Champion League, Tunisia, Etoile Sahel hawezi kuzifikia pointi za Monastri ambayo ilimfunga jana kwa magoli 2-0. Hivyo timu 14 - 4 =10 ndio Simba imefaidika kuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza.
-Kwa mujibu wa kalenda ya CAF ratiba inaonesha raundi ya awali ya mashindano ya CAF (Caf Champion League na Caf Confederation Cup) yataanza August 12-14 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na August 19-21 michezo ya mkondo wa pili. Wakati raundi ya kwanza imepangwa kuanza September 9-11 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na September 16-18 michezo ya mkondo wa pili.