Giants Simba Sc kuanzia round ya kwanza CAFCL

Giants Simba Sc kuanzia round ya kwanza CAFCL

-Klabu ya Simba SC ya Tanzania sasa rasmi imekuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza kwenye mashindano ya CAF Champion League msimu 2022/23 kama msimu uliopita baada ya CAF kupitisha utaratibu wa vilabu 10 bora kuanzia raundi ya kwanza ya michuano ya CAF Champion League.

-Ubora wa vilabu kwa sasa Simba ipo nafasi ya 14 kama ifuatavyo (Al Ahly (01) ya Misri, Wydad (02) ya Morocco, Esperance (03) ya Tunisia, Raja (04) ya Morocco, RS Berkane (05) ya Morocco, Mamelodi (06) ya Afrika Kusini, Mazembe (07) ya DRC, Zamelek (08) ya Misri, Pyramids (09) ya Misri, Etoile (10) ya Tunisia, Orando (11) ya Afrika kusini, Horoya (12) ya Guinea, Petro de Luanda (13) ya Angola) na Simba SC (14) ya Tanzania

-Kwa Misri inatakiwa vilabu 2 kati ya vitatu (Al Ahly, Zamalek, Pyramids) kushiriki CAF Champion League, Morocco timu ya Berkane ameshindwa kufuzu kucheza CAF Champion League, Orlando naye hajafuzu kucheza Caf Champion League, Tunisia, Etoile Sahel hawezi kuzifikia pointi za Monastri ambayo ilimfunga jana kwa magoli 2-0. Hivyo timu 14 - 4 =10 ndio Simba imefaidika kuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza.

-Kwa mujibu wa kalenda ya CAF ratiba inaonesha raundi ya awali ya mashindano ya CAF (Caf Champion League na Caf Confederation Cup) yataanza August 12-14 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na August 19-21 michezo ya mkondo wa pili. Wakati raundi ya kwanza imepangwa kuanza September 9-11 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na September 16-18 michezo ya mkondo wa pili.
Hakuna habari zinaumiza Oya Oya FC Kama hizi ,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ata msimu uliopita Simba alitolewa raundi iyoiyo ya kwanza kwenye ligi ya Mabingwa maana mbumbumbu fc awacheliwi kujisahaulisha.
 
-Klabu ya Simba SC ya Tanzania sasa rasmi imekuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza kwenye mashindano ya CAF Champion League msimu 2022/23 kama msimu uliopita baada ya CAF kupitisha utaratibu wa vilabu 10 bora kuanzia raundi ya kwanza ya michuano ya CAF Champion League.

-Ubora wa vilabu kwa sasa Simba ipo nafasi ya 14 kama ifuatavyo (Al Ahly (01) ya Misri, Wydad (02) ya Morocco, Esperance (03) ya Tunisia, Raja (04) ya Morocco, RS Berkane (05) ya Morocco, Mamelodi (06) ya Afrika Kusini, Mazembe (07) ya DRC, Zamelek (08) ya Misri, Pyramids (09) ya Misri, Etoile (10) ya Tunisia, Orando (11) ya Afrika kusini, Horoya (12) ya Guinea, Petro de Luanda (13) ya Angola) na Simba SC (14) ya Tanzania

-Kwa Misri inatakiwa vilabu 2 kati ya vitatu (Al Ahly, Zamalek, Pyramids) kushiriki CAF Champion League, Morocco timu ya Berkane ameshindwa kufuzu kucheza CAF Champion League, Orlando naye hajafuzu kucheza Caf Champion League, Tunisia, Etoile Sahel hawezi kuzifikia pointi za Monastri ambayo ilimfunga jana kwa magoli 2-0. Hivyo timu 14 - 4 =10 ndio Simba imefaidika kuwa miongoni mwa vilabu 10 ambavyo vitaanzia raundi ya kwanza.

-Kwa mujibu wa kalenda ya CAF ratiba inaonesha raundi ya awali ya mashindano ya CAF (Caf Champion League na Caf Confederation Cup) yataanza August 12-14 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na August 19-21 michezo ya mkondo wa pili. Wakati raundi ya kwanza imepangwa kuanza September 9-11 kwa michezo ya mkondo wa kwanza na September 16-18 michezo ya mkondo wa pili.
Mungu ibariki SIMBA[emoji7]
giphy.gif
 
Msimu uliopita Simba ilianzia hatua hiyo pia na kutolewa kwenye hatua hiyohiyo.....jipangeni
 
asingeshiriki,ni kama ilivyo hao wengine wapo juu lakini hawashiriki.
Angeshiriki yeye na mshindi wa kwanza, mshindi wa pili angepoteza nafasi hiyo, japo anaweza shiriki Confederation. Kiufupi bingwa wa champions league anapewa nafasi ya moja kwa moja kutetea ubingwa wake. Vile vile bingwa wa Confederation anapewa nafasi ya kutetea ubingwa wake, hatahivyo kama bingwa wa confederation nchini mwake amepata ubingwa ligi basi anapewa nafasi ya kuchagua ashiriki kombe lipi kati champions na confederation.
 
Back
Top Bottom