Gidion Mbuvi Sonko Aukwaa Usenetor Wa Jiji la Nairobi

Gidion Mbuvi Sonko Aukwaa Usenetor Wa Jiji la Nairobi

endeleeni kuwa na viongozi kama akina Iddi Simba na mzindakaya......mkija kushtuka wenzenu wako mbaaali
 
Bangi na madawa ya kulevya siyo mchicha ndugu yangu kwamba utamkuongezea protein.Lazima apinde tu
Kikwete ambae havuti bangi kawafanyia nini? Mnadanganywa na suti watz
 
Ndemokrasia ina mambo

.
Duh. Hapa ndipo ninapofikia kujiuliza suali ambalo linanizonga mawazo karibu kunifanya kichaa. Swali lenyewe ni hili: Je Demokrasia ya wengi wape iliwahi kutatua matatizo yanayomkabili binadamu?
.
 
541483_503071443083780_1651343911_n.jpg
brotherman mike sonko ameshinda kwaTheCHOICE
 
Watanzania hapa ndipo ninapowapendea! SUGU akivaa hereni, mtamponda mpaka mapovu yanawatoka, Lema akijichanganya na wapiga kura wake, utasikia watu wanaponda ile mbaya! ooh muhuni, mvuta bangi! ila hapa kwa Mh.Sonko ni sawa kabisa, utawasikia wanafiki wanasema "ana connection nzuri na wapiga kura wake!" ubaya ni ubaya tu, ufanywe na Mtanzania au mkenya, lazima tukubali kuwa kuvaa hereni na kuweka curl kit kwa mtoto wa kiume ni kinyume na maadili ya kiafrika!!!!!
 
Hatimaye yule mbunge mwenye makeke bwana Mike Gidion Mbuvi (Sonko) ameukwaa Usenetor wa jiji la Nairobi! Natumaini mtakua mnamkumbuka sana kwa mambo yake ya Usharo*****

nae mfuasi wa kameruni?
 
Waambie mambwiga hawa
Tena wakumbushe kuwa Sonko alikuwa mbunge kabla ya hapa. Ni dhahiri watu wanaridhishwa na utendaji wake ndio maana wamemuamini tena awatumikie kama Seneta.

Kwa hiyo sisi tunaokuwa impressed na gamaba la juu na tuendeee tu lakini tuwaache wale wanaotazama zaidi ya muonekano wa nje.

Go Sonko, you won our trust...we wish you all the best.
 
Duh! Senetor kapiga ki-hereni! Duh!

Kura nyingi nina nadhani atakuwa amezipata kwa vijana. na kama hiyo ni sahihi , basi ni bahati nzuri kwa vijana watanzania, kwani wamefanikiwa kuwagundua vijana wenzao wa Nairobi wanavyofirikia juu ya nani wa kuwaongoza. Kwa staili hii ya maono ya vijana wa Nairobi, Tanzania tulikuwa sahihi kuyumbisha mchakato wa kuharakisha kuundwa mamlaka ya umoja wa Afrika Mashariki kwani sasa tunaweza kuwajua vizuri wenzetu tunaotaka kujumuika nao.
 
Huyu angekuwa mjengo wa hapa mngemsikia Ajuza<< 'huyuuu ninasema hakuna kuingia ndani aende zake maana ni muhuni'!
 
Yaani huyo jamaa ni Noma yeye aliamua nitoke vip ndani ya Bunge
 
Back
Top Bottom