Gidion Mbuvi Sonko Aukwaa Usenetor Wa Jiji la Nairobi

Sonko's statement in 'Rasta' dressing and dreadlocks + + +

source: capitalfmkenya youtube
 
Last edited by a moderator:
Bangi na madawa ya kulevya siyo mchicha ndugu yangu kwamba utamkuongezea protein.Lazima apinde tu

huyo Fastjet wenu ambae havuti bangi na unadhifu wake kawafanyia nin?
 
Kinachohitajika ni utekelezaji wa Mipango ya maendeleo baasi , kwa utafiti nilioufanya unaonyesha kuwa wanaongoza kwa wizi na kutokuaminika ( most of them ) ni wale wanaovaa SUTI !! wakiwemo Viongozi wa kisiasa, mawaziri , wabunge , maharusi nk

wanavaa suti ili waonekane wasafi machoni mwa wananchi
 
Kinachohitajika ni utekelezaji wa Mipango ya maendeleo baasi , kwa utafiti nilioufanya unaonyesha kuwa wanaongoza kwa wizi na kutokuaminika ( most of them ) ni wale wanaovaa SUTI !! wakiwemo Viongozi wa kisiasa, mawaziri , wabunge , maharusi nk


We jamaa umenifanya nivue koti langu...hah hah hah haaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…