Halafu ndo mnamsema SUGU eti brazamen!!!
Bangi na madawa ya kulevya siyo mchicha ndugu yangu kwamba utamkuongezea protein.Lazima apinde tu
Kinachohitajika ni utekelezaji wa Mipango ya maendeleo baasi , kwa utafiti nilioufanya unaonyesha kuwa wanaongoza kwa wizi na kutokuaminika ( most of them ) ni wale wanaovaa SUTI !! wakiwemo Viongozi wa kisiasa, mawaziri , wabunge , maharusi nk
Kinachohitajika ni utekelezaji wa Mipango ya maendeleo baasi , kwa utafiti nilioufanya unaonyesha kuwa wanaongoza kwa wizi na kutokuaminika ( most of them ) ni wale wanaovaa SUTI !! wakiwemo Viongozi wa kisiasa, mawaziri , wabunge , maharusi nk
Bangi na madawa ya kulevya siyo mchicha ndugu yangu kwamba utamkuongezea protein.Lazima apinde tu