Giggy Money aja na SUPU


Anapenda kukaa uchi
Huyu dada ana matatizo
Hivi Sheria ya Makosa ya Kimtandao ni pambo ?
Huyu ndo Giggy bhana....Chura wa Kinyakyusa
Jiandaeni kunyweshwa supu !!!
Supu ya moto
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Kumbe ni mnyakyusa? Ndo maana!
 
Nyinyi wanawake cku zote mna lalamika kuhusu usawa na kudhalilishwa mwenzenu apo anawavua nguo mmekaa kimya..... au kwa hilo haliwa husu... "mtakojozwa sana"
 
Mbona hakuna shida

Mimi siku zote nasema kile hukipendi huna haja ya kukifatilia hii ni dunia huru

Mimi mwenyewe sipendi taarabu ila hakuna siku nimeangaika nazo... Au hata mashoga ila sina muda
 
Ovyo !msichana wa ovyo aliyetoka katika familia ya ovyo!(my assumption here)huyu ni wa ovyo kabisa na atakaye kuwa mpenzi wake nae atakuwa mwanamme wa ovyo kabisa!
 
Mbona hakuna shida

Mimi siku zote nasema kile hukipendi huna haja ya kukifatilia hii ni dunia huru

Mimi mwenyewe sipendi taarabu ila hakuna siku nimeangaika nazo... Au hata mashoga ila sina muda
Hili ni Jukwaa la Umbea(Celebrities Forum)
Nimeleta tu umbea
Wala sifuatilii maisha yake
Hapa ni burudani tu
 
hakuna wadada nnaowadharau km a in a hii,fake life na uzungu mwingi,huyu dada nadhani anataka umaarufu kwa nguvu zaidi,wema sepee nadhani ndo role model wake,
 
Hili ni Jukwaa la Umbea(Celebrities Forum)
Nimeleta tu umbea
Wala sifuatilii maisha yake
Hapa ni burudani tu
Hapana nasemea watu wanao ponda kuhusu huyo demu na staili yake ya maisha, si sawa kila mtu humu ana aina yake ya maisha na si lazima impendeze kila mtu... Mtu akiona Supu haimfai kunywa anaenda kula mtori tu sio ishu

Nklikuwa nashauri tupunguze unafki
 
Yaani wanadamu tuna shida sana
Afu akifa eti Mungu amuweke Mahali pema peponi
 
Nimekuelewa vizuri mkuu
 

Anapenda kukaa uchi
Huyu dada ana matatizo
Hivi Sheria ya Makosa ya Kimtandao ni pambo ?
Huyu ndo Giggy bhana....Chura wa Kinyakyusa
Jiandaeni kunyweshwa supu !!!
Supu ya moto
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Kaka Avatar yako imenichekesha sana... na hata avatar yako sheria ya mtandao itaihusu pia...haaaa haa haaa
 
Ile sheria ni kwa ajiri ya kuwadhibiti viherehere kama yericko nyerere tu wakati wa chaguzi.
Ile sheria ipo kwa ajili ya Jamiiforums tu! Instagram ndiyo kumejaa ujinga wa kiwango wa lami! TCRA wapo wapo tu wanasubiri rais atoe tamko!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…