Giggy Money Kawaumbua Mastaa uchwara, sikutegemea kama anakaa Uswahilini

Huyu demu ukifuatilia style ya maisha yake aisee namuonea huruma yule mtoto kuzaliwa na mama mwendawazimu namna hii. She needs to change kwakweli mtoto anakua huyu anazidi kuwa mwehu kila siku zinavyokucha.
 
Maisha ya kuiga kazi sana sana, ila ni yao, ya ngoso waachie ma ngoso..
 
Ngj itoke siku aukwae udisii

Utampigia salute πŸ˜‚

Ova
Duh sema hii nchi kama Jerry amekuwa DC, anything else from CCM is possible. Kama Msando mchezea Papa amekuwa DC sasa aliyeitoa ichezewe so ndio ataonekana hero kabisa?
 
Okay
 
Tuwaombee tu hawa wasanii wetu kwa kweli.... maisha ya instagram na halisi ni vitu viwili tofauti kama mbingu na ardhi.
 
Huyu demu ukifuatilia style ya maisha yake aisee namuonea huruma yule mtoto kuzaliwa na mama mwendawazimu namna hii. She needs to change kwakweli mtoto anakua huyu anazidi kuwa mwehu kila siku zinavyokucha.
Ila giggy jaman yaan hana hata habari naye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila giggy jaman yaan hana hata habari naye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Crazy maarufu unatarajia nini? Sijui ana wazazi? Namaanisha wapo hai kweli? Na wanaona vitimbwi vya mtoto wao kabisa au wameamua kumshindwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…