Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
sanaa na sauti yake ileeYani ni mtanashati sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sanaa na sauti yake ileeYani ni mtanashati sana
Yani ana sifa sana huyu dada. . huwa anajifanya don't care sana
Joanah unakwenda mbali sasa... Gigy akikuibukia mi sikuamulii.Anaonekana mpole kweli
Alafu ushamsikia akiongea?ana sauti fulani hivi amazing[emoji85]
Bebe hili jukwaa halikufai [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]Baada ya kuona mwenyekiti wa ubuyu Jamiiforum warumi anatumikia BAN nimeona bora nijaribu taaluma yake
Mtangazaji maarufu wa choicefm katika kurasa yake huko Instagram ameamua kuonesha ukichaa wake baada ya kupost video akichorwa tattoo ya kwenye a$$
Mtangazaji huyo wa kipindi cha lavidavi ambaye inafahamika ni mtu wa kupenda 'kiki' amepost video hiyo na kuandika 'my new tattoo'
Hivi wanawake huwa tunafikiria nini?huu ni upumbavu ndio maana tunadhalilika kila siku
I feel sorry kwa boyfriend wake moj
We mtu upo?gigy kashindikanika
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]Anaonekana mpole kweli
Alafu ushamsikia akiongea?ana sauti fulani hivi amazing[emoji85]
mzaramo umemisika kule eb fanya ujeSasa unachora tattoo kwenye tako ili iweje?!
Au ndio matangazo ya kutoa ndogo?!
leo ndio unaniona si tunakutana mara kibao kwenye thread zakoWe mtu upo?
Ha ha ha ha haleo ndio unaniona si tunakutana mara kibao kwenye thread zako
miss u moo chizi wanguHa ha ha ha ha
Nimekumiss sana mama chanja wangu
Chizi wa penzi lako mamiii [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]miss u moo chizi wangu
Unatamani tako la mwanamke mwenzio??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]D gigy anabonge la msambwandaa jamaa wa tatoo analishika tu ha ha ha ha ha ila sindano ya tatoo inaumaa
hujaeleweka kemiko kivipi?Mimi chemical
inauma sana?? i want to get a tattooDa gigy anabonge la msambwandaa jamaa wa tatoo analishika tu ha ha ha ha ha ila sindano ya tatoo inaumaa
Hun kuanzia kesho siingii tena hili jukwaa halinifai kweliBebe hili jukwaa halikufai [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Hili ni jukwaa la waswahili waswahili ambao hawajaenda shule kutwa kuzungumza ya watu ambayo hayawasaidii kwa lolote
Nisinge penda nikupoteze mke wangu
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Sio sana ila it takes hours to finish like 4hoursinauma sana?? i want to get a tattoo