Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habali kinavyo jieleza hapo juu
Yule mdada asiye ishiwa vituko ambaye ni host wa tv na msanii wa kizaz kipya anayejulikana kama gift stanfod aka gigy money amedai yeye hawez olewa kwa mahali ya milion tano maana hiyo hela ni ndogo sana hivyo anataka kumi had kumi na tano
Gigy money amedai kuwa kuna jamaa alienda home kwao akaambiwa atoe milion kumi, lakin jamaa aliomba kupunguziwa kidogo kama milion tano hivi kakin gigy alikataa na kudai kuwa yete sio wa bei hiyo yeye thaman yake ni milion kumi had kumi na tano
Gigy amedai ana nyota kubwa sana maana hapo awali ashawahi chumbiwa kwa mahali ya milion saba lakin nayo pia aliikataa
LONDON BABY
Kama kichwa cha habali kinavyo jieleza hapo juu
Yule mdada asiye ishiwa vituko ambaye ni host wa tv na msanii wa kizaz kipya anayejulikana kama gift stanfod aka gigy money amedai yeye hawez olewa kwa mahali ya milion tano maana hiyo hela ni ndogo sana hivyo anataka kumi had kumi na tano
Gigy money amedai kuwa kuna jamaa alienda home kwao akaambiwa atoe milion kumi, lakin jamaa aliomba kupunguziwa kidogo kama milion tano hivi kakin gigy alikataa na kudai kuwa yete sio wa bei hiyo yeye thaman yake ni milion kumi had kumi na tano
Gigy amedai ana nyota kubwa sana maana hapo awali ashawahi chumbiwa kwa mahali ya milion saba lakin nayo pia aliikataa
LONDON BABY