Gigy money aitosa mahali ya milion 5 anataka 10-15

Gigy money aitosa mahali ya milion 5 anataka 10-15

Huyu anayetaka kias hicho cha Bingo unaweza kuta hana Bikira ya Mbeke wala ya nyima
 
wenzake wanazeekea hapo hapo na yeye atazeekea hapo hapo, ujana tu unamsumbua
 
Amesema yeye thamani yake ni milioni 10 hadi 15???? HIVI BINADAMU ANALINGANA NA MILIONI 15?
 
Kwa jinsi alivyo used ,NG'OMBE WAWILI TU wanatosha kama mahari yake,achilia mbali hiyo milioni 5.
 
sasa kama mwanaume alienda na 7m akazikataa leo mwingine ameenda 5m bado anakataa!!

Anataka zifike 620,000tsh ndo naolewe!!!!
 
Pesa mbele....zamani ilikuwa mapenzi mbele pesa nyuma
 
Asiwe na haraka asubiri afike 40 yrs hata buku hampati MTU,
 
Habari za umbea zisizo na verified source hapa si mahala pake..
 
Changudoa anatolewa mahari acheni utani huyu ni wa night stand basi ndio level yake
 
sasa kama mwanaume alienda na 7m akazikataa leo mwingine ameenda 5m bado anakataa!!

Anataka zifike 620,000tsh ndo naolewe!!!!
Nimecheka mpaka ps kaja kunichunguliaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38]

Vijana mtatuua aseeee
 
Back
Top Bottom