[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama nakuona ulivyoshika mdomo hapo.Mungu wangu, Mungu simama na hawa wanaume uliotuambia ni vichwa sasa sijui sie mikia tufanye yepi kama kichwa kimepoteza dira hivi, looo! Aibu naona mimi kumtazama huyo Jack, pole sana mama .
Ndio haya sasa ya kuaibishana acha waone haya tu maana wanayataka wenyewe wanawaumiza vijana innocent wenye mapenzi ya kweli kisa hawana pesa wanakimbilia pesa ndio haya sasa.Fact!
Huwa nawaambia wanawake wenzangu hilo suala huwa hawasikii. Baadae ambayo huwakuta wanaanza kunionea aibu.
Sio wote aiseeeUnasema tu, kwani mbona hata mkijua mwanaume anacheat bado mnang'ang'ana? Wanawake ujanja wenu ni kuombwa msamaha tu huku jianaume umejipigisha magoti na machozi ya uongo uongo..
Hata mkewe akiangalia a bright future aliyonayo na Alberto hawezi hata kufikiria hayo.. Unafanya mchezo mke unatembea na benz kesho yuko na Range, unaishi kwenye bungalow, watoto wanasoma Brueburn.. Wanaume makapuku ndio huanjwa kirahisi rahisi tu.. Unaweza kuta Alberto kujituliza na mawazo yupo na mkewe Masai Mara hapo wakitoka hapo wanaingia Ibiza wakirudi mkewe hata huyo Gigy hamkumbuki..
Siwezi kumu underestimate hata kidogo msomi na mwenye hela zake.....lakini kuhangaika na akina gigymoney hakuendani na status yake.Mkuu don't try to underestimate him.. He is a classic guy, I know him in personal.. Tatizo lake pekee ni kuutaka ustar kwa nguvu na kuwaona mastar kama miungu watu hivi..
Kinacho uma zaidi ni aina ya mwanamke aliekuwa nae, mumeo kuwa na kahaba dah! inauma unajiuliza umekosea wapi?![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama nakuona ulivyoshika mdomo hapo.
Wallah ningekuwa mimi ndio huyo mkewe ningeachana nae, maana nisingeweza kuondokewa na hii picha milele.
Napenda umbea lakini huu umeniuma sana kama mwanamke, nimefadhaika sana kwakweli!wewe dada yangu ni mbeaa...! hapo unaburudikaaaa
Uwiiiiiiiii mwasu una storiiiiiiiii hahahaaaa.Nifah, ndoa hizi zina mengi wewe acha tu, kuna mama mmoja raia wa kigeni enzi zile UN ICTR ndio imeanza hapa town, mwanaume mmoja toka Ghana malaya alikuwa balaa kumbe anafumua marinda siku hiyo karudi kalewa nguo zina mavi gouse girl kagoma kuziweka kwenye mashine afue, mama wa watu kafua na kuanza kumueleza msichana jinsi mume anavyo mtesa kwa umalaya na kumla Makalio kwa nguvu mpaka kazoea, lakini ukimkuta kavaa mavazi ya kwao na kilemba kile ndani ya gari utatamani mume amuacha uolewe wewe unaepanda toyo kila siku, ndoa hizi zinavumilika tu, hakuna jinsi ila usiombe uyaone acha uyasikie tu, sijui mke wake ana hali gani>
aisee kama kuna kitu cha kuombea kwenye ndoa ni kuomba mwenzi wako awe na hofu ya MunguHuyu Msando si kaoa jamani? Uchafu gani huu?
Kiukweli hapa tu ndipo huwa nshindwa kuwaelewa wanawake wenzangu. Mwanaume pamoja na uchafu huu bado atakuwa proud nae! Dah
Kwani si kashika tu jamani hapo kuna ubaya gani? Ingekuwa kamla hapo sawa kumlaumu.Moyo umeniuma yaani msando ameshika k wazi alafu anamke
watu wanakomaa kwa ajili ya watoto, ukiwa mke tegemezi huna chanzo chochote cha mapato, utaumia sana maana ukiangalia wanao uende nao wapi wameshazoea mkate siga na school bus mpaka mlangoni unakomaa, mwisho unaambulia gonjwa..Uwiiiiiiiii mwasu una storiiiiiiiii hahahaaaa.
Kuliko niwe na mwanaume wa hivyo bora nife masikini tu. Bajaj na toyo sio kitu
noo onea huruma mke wake na kama ndo uyo apo kwenye pichaNimemdharau kupita maelezo msando
Pesa tamu lakini sio hii. Kuna raha gani kama hapo mke wa Msando kila aendapo watu hawatomtazama kwa heshima, na hiyo yote ni sababu ya kuwa na mume mzinzi!Si huwa mna kamsemo kenu 'heri kulia ndani ya range rover kuliko kucheka kwenye daladala'
Bill Clinton alitembea na housegirl wake.. Lots of ballers wanatembea kingono na pornstars.. It's just sexual desires or fantasies, nothing serious there kaka.. Ungeweza kujudge kama angekuwa kumuoa hiyo mwanamke, ila hit and run sioni tatizo maana kila mwanaume ana mess around..Siwezi kumu underestimate hata kidogo msomi na mwenye hela zake.....lakini kuhangaika na akina gigymoney hakuendani na status yake.
aisee wewe uliyeiweka hii picha ya familia hapa umewadhalilisha sana hawa watu.View attachment 512548
Anaiabisha familia yake
Sasa utabaki na mimi kapuku nisie-cheat (au sometimes na-cheat vile vile) ule mchunga na matembele sio?Pesa tamu lakini sio hii. Kuna raha gani kama hapo mke wa Msando kila aendapo watu hawatomtazama kwa heshima, na hiyo yote ni sababu ya kuwa na mume mzinzi!
Heshima ni kitu bora zaidi ktk jamii.
if this is what you are calling 'mess around' poleni sanaBill Clinton alitembea na housegirl wake.. Lots of ballers wanatembea kingono na pornstars.. It's just sexual desires or fantasies, nothing serious there kaka.. Ungeweza kujudge kama angekuwa kumuoa hiyo mwanamke, ila hit and run sioni tatizo maana kila mwanaume ana mess around..
Haya mkuu alichofanya wakili msomi ni sawa tu kwasababu wanaume wote tuko hivyo.Bill Clinton alitembea na housegirl wake.. Lots of ballers wanatembea kingono na pornstars.. It's just sexual desires or fantasies, nothing serious there kaka.. Ungeweza kujudge kama angekuwa kumuoa hiyo mwanamke, ila hit and run sioni tatizo maana kila mwanaume ana mess around..
Mama Hillary Clinton alisimama na mumewe wakati dunia nzima ilijua alimbaka mtumishi wake.. Kuna vitu mnavi overestimate sana.. Alberto messed up, aombe msamaha asamehewe maisha yaendelee..Pesa tamu lakini sio hii. Kuna raha gani kama hapo mke wa Msando kila aendapo watu hawatomtazama kwa heshima, na hiyo yote ni sababu ya kuwa na mume mzinzi!
Heshima ni kitu bora zaidi ktk jamii.