Jamani mpenzi wangu, nipo mwaya.Jaman nimekumc madame, usinifanyie hivo
Wacha we!! Kwani huyo unaedondoka nae kwenye kadhia ni mwanaume mwenzio? Basi wote tuombeane.Nakushauri uitafute.. Ni nzuri sana kwa wanaume wa aina hii unayosema..
Mazingira hatarishi si lazima bar tu, hata kazini mfanyakazi mwenzako anaweza kukuwekea mazingira hatarishi mkajikuta mmedondokea washing room ama lodge.. Maombi yenu ndio hutuokoaga kwenye hizi kadhia
Hizi ndoa mnazitolea kwenye Instagram tu,... Hujui yaliyomo chini ya kapet la bwana msando..... Ulichoelewa hapo kinaitwa hekima ya mkosaji na uhuru wa mkosewaji.... Huwezi jua hasira aliyo nayo mkosewaji na si vyema kumbana asilipize kisassi.... Mpe uhuru, mpe nafasi, wa kukosea atakosea tu na wa kuchukulia atachukulia.....Ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa ndoa!! Kwahiyo kosa moja linahalalishwa na kosa lingine!!!
Ndio hivyo sasa!! Mkifanyaga muwafikirie watoto maana sie mlishatuzoea hataaa hatuwaingii akilini.hehehehehehe kwamba mcheki baba yako akichezea kitu hii.. Daaaahh aisee
Hizi ndoa mnazitolea kwenye Instagram tu,... Hujui yaliyomo chini ya kapet la bwana msando..... Ulichoelewa hapo kinaitwa hekima ya mkosaji na uhuru wa mkosewaji.... Huwezi jua hasira aliyo nayo mkosewaji na si vyema kumbana asilipize kisassi.... Mpe uhuru, mpe nafasi, wa kukosea atakosea tu na wa kuchukulia atachukulia.....
Kwa uelewa wako ni Kama unasema msando akamshikie Mke wake mguu akiwa analiwa.... F@&$)@$()
Prof Kapuya aliwahi kupigwa Picha Mkono wake uko 'Chumvini' kabisa kwa Malaya
Nyie ndio muombe zaidi.. Ni rahisi sana kwa mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke.Wacha we!! Kwani huyo unaedondoka nae kwenye kadhia ni mwanaume mwenzio? Basi wote tuombeane.
Haupo safe anywhere, Ila bar/usiku ni hatarishi zaidiNakushauri uitafute.. Ni nzuri sana kwa wanaume wa aina hii unayosema..
Mazingira hatarishi si lazima bar tu, hata kazini mfanyakazi mwenzako anaweza kukuwekea mazingira hatarishi mkajikuta mmedondokea washing room ama lodge.. Maombi yenu ndio hutuokoaga kwenye hizi kadhia
Mtuombeee jamani, dunia vishawishiii teh teh teh tehNdio hivyo sasa!! Mkifanyaga muwafikirie watoto maana sie mlishatuzoea hataaa hatuwaingii akilini.
Mnavyojua kujitete sasa, utadhani huwa mnashikiwa bunduki.Nyie ndio muombe zaidi.. Ni rahisi sana kwa mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke.
Na wengi ya wachepushaji ni single ladies ambao hata hawako kwenye ndoa..
Msitusingizie bana, afu hatuwatafuti; mnatufuata wenyeweNyie ndio muombe zaidi.. Ni rahisi sana kwa mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke.
Na wengi ya wachepushaji ni single ladies ambao hata hawako kwenye ndoa..
Usimwamini mwanaume anayekesha bar usiku tena kila siku.. Alafu unakuta anayempotezea muda huko kila siku ni bar maid ambaye hata darasa la saba kuliona ni aliliona kwa shida.. Hawa bar maids ni washirikiana sana asikwambie mtu.. Nishaona watu mpaka wanabadilisha dini zao na kuwaoa kabisa na kuwaweka ndani huku mke akiachwa solemba..Haupo safe anywhere, Ila bar/usiku ni hatarishi zaidi
Mweeeeh!!! Mmepata kisingizio eti!! Si bora nyie mnatongoza, sie tunaotongozwa kila siku tusemeje sasa!!Mtuombeee jamani, dunia vishawishiii teh teh teh teh
Si mmewafuata, kwani wanawafuata majumbani mwenu?Usimwamini mwanaume anayekesha bar usiku tena kila siku.. Alafu unakuta anayempotezea muda huko kila siku ni bar maid ambaye hata darasa la saba kuliona ni aliliona kwa shida.. Hawa bar maids ni washirikiana sana asikwambie mtu.. Nishaona watu mpaka wanabadilisha dini zao na kuwaoa kabisa na kuwaweka ndani huku mke akiachwa solemba..
Mmh Roho imeniuma[emoji27] [emoji27] [emoji27]Usimwamini mwanaume anayekesha bar usiku tena kila siku.. Alafu unakuta anayempotezea muda huko kila siku ni bar maid ambaye hata darasa la saba kuliona ni aliliona kwa shida.. Hawa bar maids ni washirikiana sana asikwambie mtu.. Nishaona watu mpaka wanabadilisha dini zao na kuwaoa kabisa na kuwaweka ndani huku mke akiachwa solemba..
[emoji2] [emoji2] [emoji2] we jamaa bwege kweli sasa umesema hujawahi kuona..umejuaje kama wanawala malaya au na ww ni malaya?Zitto, msando, mbowe wanawala malaya sijawahi kuona
Aiseee hiyo kitu ina nguvu kuliko bunduki ujue..Mnavyojua kujitete sasa, utadhani huwa mnashikiwa bunduki.
mimi ndo nilimtuma. tumia busara ww. Mimi na wewe nani bwege.Acha uchochezi wa kibwege... Kwani hiyo ndoa ikimwagika utaolewa wewe... Mwangalie Albert usoni utaona facial expression ya uoga, mawazo, kujutia na kujilaumu. Hapa mangi anatakiwa ampe Mke vacation aende ndi yoyote na ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa kindoa kwa Kiwango kidogo.... Hapo anaweza akawa na Amani na akarudisha uanaume wake.
The law of natural attraction hiyo.. South Pole and North PoleMsitusingizie bana, afu hatuwatafuti; mnatufuata wenyewe