Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Nakushauri uitafute.. Ni nzuri sana kwa wanaume wa aina hii unayosema..

Mazingira hatarishi si lazima bar tu, hata kazini mfanyakazi mwenzako anaweza kukuwekea mazingira hatarishi mkajikuta mmedondokea washing room ama lodge.. Maombi yenu ndio hutuokoaga kwenye hizi kadhia
Wacha we!! Kwani huyo unaedondoka nae kwenye kadhia ni mwanaume mwenzio? Basi wote tuombeane.
 
Ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa ndoa!! Kwahiyo kosa moja linahalalishwa na kosa lingine!!!
Hizi ndoa mnazitolea kwenye Instagram tu,... Hujui yaliyomo chini ya kapet la bwana msando..... Ulichoelewa hapo kinaitwa hekima ya mkosaji na uhuru wa mkosewaji.... Huwezi jua hasira aliyo nayo mkosewaji na si vyema kumbana asilipize kisassi.... Mpe uhuru, mpe nafasi, wa kukosea atakosea tu na wa kuchukulia atachukulia.....

Kwa uelewa wako ni Kama unasema msando akamshikie Mke wake mguu akiwa analiwa.... F@&$)@$()
 
Hizi ndoa mnazitolea kwenye Instagram tu,... Hujui yaliyomo chini ya kapet la bwana msando..... Ulichoelewa hapo kinaitwa hekima ya mkosaji na uhuru wa mkosewaji.... Huwezi jua hasira aliyo nayo mkosewaji na si vyema kumbana asilipize kisassi.... Mpe uhuru, mpe nafasi, wa kukosea atakosea tu na wa kuchukulia atachukulia.....

Kwa uelewa wako ni Kama unasema msando akamshikie Mke wake mguu akiwa analiwa.... F@&$)@$()

Wapi nimesema akamshikie mguu? Au wewe ndio unawaza hivyo!!
 

Attachments

  • mh-kapuya-o2.jpg
    mh-kapuya-o2.jpg
    21.4 KB · Views: 39
Wacha we!! Kwani huyo unaedondoka nae kwenye kadhia ni mwanaume mwenzio? Basi wote tuombeane.
Nyie ndio muombe zaidi.. Ni rahisi sana kwa mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke.

Na wengi ya wachepushaji ni single ladies ambao hata hawako kwenye ndoa..
 
Nakushauri uitafute.. Ni nzuri sana kwa wanaume wa aina hii unayosema..

Mazingira hatarishi si lazima bar tu, hata kazini mfanyakazi mwenzako anaweza kukuwekea mazingira hatarishi mkajikuta mmedondokea washing room ama lodge.. Maombi yenu ndio hutuokoaga kwenye hizi kadhia
Haupo safe anywhere, Ila bar/usiku ni hatarishi zaidi
 
Nyie ndio muombe zaidi.. Ni rahisi sana kwa mwanaume kuchepuka kuliko mwanamke.

Na wengi ya wachepushaji ni single ladies ambao hata hawako kwenye ndoa..
Mnavyojua kujitete sasa, utadhani huwa mnashikiwa bunduki.
 
Haupo safe anywhere, Ila bar/usiku ni hatarishi zaidi
Usimwamini mwanaume anayekesha bar usiku tena kila siku.. Alafu unakuta anayempotezea muda huko kila siku ni bar maid ambaye hata darasa la saba kuliona ni aliliona kwa shida.. Hawa bar maids ni washirikiana sana asikwambie mtu.. Nishaona watu mpaka wanabadilisha dini zao na kuwaoa kabisa na kuwaweka ndani huku mke akiachwa solemba..
 
Usimwamini mwanaume anayekesha bar usiku tena kila siku.. Alafu unakuta anayempotezea muda huko kila siku ni bar maid ambaye hata darasa la saba kuliona ni aliliona kwa shida.. Hawa bar maids ni washirikiana sana asikwambie mtu.. Nishaona watu mpaka wanabadilisha dini zao na kuwaoa kabisa na kuwaweka ndani huku mke akiachwa solemba..
Si mmewafuata, kwani wanawafuata majumbani mwenu?
 
Usimwamini mwanaume anayekesha bar usiku tena kila siku.. Alafu unakuta anayempotezea muda huko kila siku ni bar maid ambaye hata darasa la saba kuliona ni aliliona kwa shida.. Hawa bar maids ni washirikiana sana asikwambie mtu.. Nishaona watu mpaka wanabadilisha dini zao na kuwaoa kabisa na kuwaweka ndani huku mke akiachwa solemba..
Mmh Roho imeniuma[emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
Acha uchochezi wa kibwege... Kwani hiyo ndoa ikimwagika utaolewa wewe... Mwangalie Albert usoni utaona facial expression ya uoga, mawazo, kujutia na kujilaumu. Hapa mangi anatakiwa ampe Mke vacation aende ndi yoyote na ampe uhuru wa kufanya uhalifu wa kindoa kwa Kiwango kidogo.... Hapo anaweza akawa na Amani na akarudisha uanaume wake.
mimi ndo nilimtuma. tumia busara ww. Mimi na wewe nani bwege.

.jamani nimesahau kauli ya Kum ignore mtu. ila kuna watu wanamaudhi. midomo yao imejaa maudhi tu.
au ww ndo Albert. unalo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom