Ndicho tulichokutuma Udom ukatumie kodi zetuHii si uongo yakhe maana nikikumbuka enzi zetu za udom tulikua tunaruka madude nao hawa mbwa alafu ni ving'ang'anizi balaa yanatuma tu wanaume wenzao yaje yawafatie mizigo
Nitakasirika iwapo utaleta albert the loya staili
Hivi nyie mnachokitetea ni kipi hasa? Kwahiyo kuwa mwanaume tena uliyeoa ni sifa kufanya uchafu huu na kujirekodi?
Leo hii mkewe na familia yake kiujumla imedhalilika kiasi gani?
Huyo Msando kama mwanasheria anayeheshimika kajivua heshima kiasi gani?
Nachelea kusema kwa kutetea uchafu huu nyinyi ni wanaume wa hovyo kabisa!
Mnasimamia kucha kuvunja ndoa za wenzenu.... As am speaking shemeji tupo nae hapa the don..... Ni muelewa si kitenesi Kama wanawake wajingawajinga wenye akili Tope Kama wewe. Pumbavu.
Gigy yeye hana habarimsamaha. Com.
Hana hata wasiwasi
msamaha. Com.
Hana hata wasiwasi
Hahahaha kazoea! Anapenda wild ones!msamaha. Com.
Hana hata wasiwasi
poleni wewe na shemeji yenuMnasimamia kucha kuvunja ndoa za wenzenu.... As am speaking shemeji tupo nae hapa the don..... Ni muelewa si kitenesi Kama wanawake wajingawajinga wenye akili Tope Kama wewe. Pumbavu.
Raha burudani kwake [emoji16][emoji16]Gigy yeye hana habari
Kwake kama hakijatokea kitu
Hapa.unatikisa ndoa ya mtu mwanawani... Mmmmh... Labda jina liwe la uongoaisee kama kuna kitu cha kuombea kwenye ndoa ni kuomba mwenzi wako awe na hofu ya Mungu
vinginevyo jaman utalia sana sana
namkumbuka chuo albertho alikuwa anatoka na demu mmoja Christina Tungaraza, huyu mdada Mungu alimuokoa na akampa familia bora sana aliolewa na mtu mwingine. kwa uzuri wa Tina uwiii na huu uchafu aisee angezimia
Najua atamsamehe ila kaumia sanaUsihofu atamsamehe