Gigy Money ana tatizo gani? Unamsaidiaje? Anatikisa hadi beach!

Ndiyo sababu Majaliwa kawaachia Dar yenu mapema
Mkuu Maja kesharudi Magogoni,unafanya mchezo na Dar ilivyo tamu.Ona huyu binti wa mkoani alivyofyatuka, angekuwa Mbeya sasa hvi angeshakuwa kibibi na watoto watano
 
Halafu nisehemu public kama sikosei ni kunduchi beach pale karibu na kunduchi hotel yaani kunawatotohapo nabado wafanyahuo upuuzi
 
Huyu nae akicheza ni kutikisa matako tuu.... yenyewe malaini yametepeta hata ladha hamna. Hivi huwa anavutishwa nini hadi anaamini ni mrembo? Matako na mapaja makubwa ni uchafu asee
 
Jana ilikuwa ni siku yao, Dar ndio inaongoza kwa wagonjwa wa akili, serikali imejitahidi kuweka vituo vyao Muhimbili. Milembe n:k.

Kama una nia ya kumsaidia mpeleke kwenye moja kati ya vituo hivyo.
Hahahahaha
 
Kuna wanawake vichwa vyao ni taaabu tupu na maisha yao yamejaaa shidah ya akili
 
HUYO 0715 USIULIZE......UTAPEWA TU

OVA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…