Gigy Money asaidiwe

Live your life mkuu. Serikali itashughulikia mangapi? Iache ipambane na ufisadi! maisha ya Gigy muachie mwenyewe. Hata wewe umeyajua baada ya kwenda kufukunyua mitandaoni.
 
Jamaa Mburundi anaishi US itakua kweli katumwa na mange, na atakua amepiga mpunga mrefu sana kushinda aliompa gigy
Hiyo app itakuwa inamlipa sana Mange. Mpaka anawalipa watu wamtumie connection 🤣🤣🤣. Sasa 2024 mwaka utakuwa wa Moto sana. Itabidi Mange aanzishe app maalum kwa ajili ya connection pekee 🤣🤣🤣🤣. Maana Mange analalamika watu ni wengi mpaka app inalemewa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…