Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kweli Vijana wana faidi 🏃Ahaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Vijana wana faidi 🏃Ahaaaa
Uncle Fujo fanya kweli pmAnafurahia jamaa amemkunja haswa sukumia sana ukuni kwanini asifurahie wakati alienjoy dushe
😅😅Muda wa kudengua huunitumie basi😂
nganyila munyuwanyi
Hii IPO kidogo ana vinyamanyamaila inge kuwa ni umber lulu naonaga ana body flan ivi
Kujidaikudengua ndo nini😅
fanya kweli bana....
Live your life mkuu. Serikali itashughulikia mangapi? Iache ipambane na ufisadi! maisha ya Gigy muachie mwenyewe. Hata wewe umeyajua baada ya kwenda kufukunyua mitandaoni.Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..
Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..
Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
ulamwiheNakutumia soon
nitumie basi😂
nganyila munyuwanyi
Bado hujasema 🤣🤣🤣ulamwihe
acha hizo banaKujidai
wewe sio mwanaBado hujasema 🤣🤣🤣
Unamuiga Kantry
🤣🤣Hahahaah ila vitu vingine ,mange huwa ananichekesha haji manara kaandika gazeti kajibiwa na video juu
Makampuni ndio yanapenda mtu atrend🤣🤣
Nimecheka mno. Sasa hiyo connection ya manara na yenyewe itaanza kutikisa. Je manara atalinda brand? Makampuni ambayo anayatangaza yatampa kazi? 🤣🤣🤣
Tunakoelekea huko mbeleni serikali itaruhusu umalaya na kuigiza porno. Na kwa spidi ya mange kulipa watu hela. 2024 connection nyingine zaidi za mastar zitatoka 🤣🤣🤣Makampuni ndio yanapenda mtu atrend
Hayo matusi ya kawaida sana hakuna tusi jipya hapo Ila vipi nikushike kinyeo au?Kachezee ya mabasha wako nikome kabisa nyoko
Hiyo app itakuwa inamlipa sana Mange. Mpaka anawalipa watu wamtumie connection 🤣🤣🤣. Sasa 2024 mwaka utakuwa wa Moto sana. Itabidi Mange aanzishe app maalum kwa ajili ya connection pekee 🤣🤣🤣🤣. Maana Mange analalamika watu ni wengi mpaka app inalemewa🤣Jamaa Mburundi anaishi US itakua kweli katumwa na mange, na atakua amepiga mpunga mrefu sana kushinda aliompa gigy