Gigy Money asaidiwe

Peace,

Gigy money "Mimi siwezi kufoka wala kutukana, maumbile yangu hayaniruhusu" Baada ya miaka miwili "nye nye STUPID"

Hivi uligundua jambo gani hapa
We jamaa fala sana...
Kwa sisi wa Cuba Tumeelewa lakini Si kashamchomoa mfanyakazi wake jana aliyefanya uchokozi
 
Peace,

Gigy money "Mimi siwezi kufoka wala kutukana, maumbile yangu hayaniruhusu" Baada ya miaka miwili "nye nye STUPID"

Hivi uligundua jambo gani hapa
Kiufupi Gigy money amejikita sana katika kutaka huruma za Watu na jamii kwa ujumla watu wamuonee huruma (Public sympathy) ila kiukweli hakuna Mwanamke anakosa maovu kama uliyotaja mwanamke kaumbwa kuwa hivyo kujiona bora pale anapopewa nafasi...

Japo namshauri kuwa Mwnzoni hakuwa sahihi maana alitaka kupingana na nature ila kwa sasa yuko sawa
 
Umeanza vizuri kuwa huyu asaidiwe ila umemalizia vibaya kwa kumchongea kwa waziri.

Mi nilidhani ungemalizia kwa kumwombea kwa mamlaka zimsaidie kukuza kipaji chake hiki kipya.

Ametuonesha nasisi tunaweza kuwa na akina Cherokee d'Ass wetu wa apaapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…