Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Aliituma mange huko instaHio bado sijaona 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliituma mange huko instaHio bado sijaona 😂
Uzi ngeni!Fafanua.Peace,
Gigy money "Mimi siwezi kufoka wala kutukana, maumbile yangu hayaniruhusu" Baada ya miaka miwili "nye nye STUPID"
Hivi uligundua jambo gani hapa
We jamaa fala sana...Peace,
Gigy money "Mimi siwezi kufoka wala kutukana, maumbile yangu hayaniruhusu" Baada ya miaka miwili "nye nye STUPID"
Hivi uligundua jambo gani hapa
Kiufupi Gigy money amejikita sana katika kutaka huruma za Watu na jamii kwa ujumla watu wamuonee huruma (Public sympathy) ila kiukweli hakuna Mwanamke anakosa maovu kama uliyotaja mwanamke kaumbwa kuwa hivyo kujiona bora pale anapopewa nafasi...Peace,
Gigy money "Mimi siwezi kufoka wala kutukana, maumbile yangu hayaniruhusu" Baada ya miaka miwili "nye nye STUPID"
Hivi uligundua jambo gani hapa
Nitumie tugawane dhambiNkutumie chap kabla haujaingia church sio???
Watu twapenda koneksheni, kuna jamaa kanichekesha eti mkuu nitumie chap muda si mrefu naingia church 🤣🤣🤣🤣Nitumie tugawane dhambi
🤣🤣🤣🤣🤣Njoo nayo pm myWatu twapenda koneksheni, kuna jamaa kanichekesha eti mkuu nitumie chap muda si mrefu naingia church 🤣🤣🤣🤣
Na mimi niione pm iko wazHahahah nimekurushia ya amber ruty
Hizo koneksheni kumbe zina fursa ndani yake na mmekaa kimya tu😁 anyway bando limekata ntumie ya bando nkupe koneksheni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Njoo nayo pm my
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizo koneksheni kumbe zina fursa ndani yake na mmekaa kimya tu😁 anyway bando limekata ntumie ya bando nkupe koneksheni 🤣🤣
Ikikupendeza na mimi nitumie mkuu.Its all over X , go watch it…
Aaah jaman mbona video zinatembea kwenye magroup yote yan nimetuma kama kwa watu 50 humu ndani watu kibao humu kwenye uzi huu nimewatumia na wao wanisaidie sasa…Ikikupendeza na mimi nitumie mkuu.
Umeanza vizuri kuwa huyu asaidiwe ila umemalizia vibaya kwa kumchongea kwa waziri.Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..
Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..
Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Itume please, unakulaje peke yakoAnayetaka video jamani nimpe tugawane dhambi
Mkuu nahamu sana nijue alipo.kila.nilie soma nae tukikutana nikimuulizia flani yuko wapi hawajui.. sijui ashakufaga ila naomba sana isiwe hivyo mpaka nikutanishwe nae.😁😁😁
Ulimfanya nini mlokole wa watu?
Vipi asahivi ameshafungua kanisa?
2B hiiii hiii au Tubiiiii ingine we berylyn wewe yule mdada ni muongoo shetani anasubiriAnaingiza 2B kwa mwezi kupitia app.
Wafuasi wa Mange utawawezaaaaaaa2B hiiii hiii au Tubiiiii ingine we berylyn wewe yule mdada ni muongoo shetani anasubiri