Gigy Money asaidiwe

Gigy Money asaidiwe

duh i can feel it...pole sana mkuu..na kweli scandal kama hiyo hata kujitetea unashindwa...huyu phaller sasa hv yuko wapi alokuzushia? pole sana mkuu
Huwezi amini leo mpaka kesho naombaga Mungu nikutane nae,wanasemaga hasira zinapoa ila kila nikikumbuka nazidi kukasirika,ukweli huyo jamaa siku nakutana nae uso kwa uso Hatoamini...
 
Back
Top Bottom