Gigy Money asaidiwe

Gigy Money asaidiwe

Ifikie Muda watu jamii hii wauliwe kama kule Taliban ushenzi kama huu wanatokomeza haraka wanaitwa magaidi lkn wamestaarabika sisi tunaoyafurahia haya acha vizazi vyetu viharibike.
Hata hao matalibani wanaf*r#n* kinyama!! Yaani jamii zote za Dunia hii zimejaa ushetani wa kiwango Cha juu!!
Haki ya kutoa roho ya mwanadamu anayo Mungu pekee,we unamuua mwenzako kisa Malaya kumbe na wewe ni mf*r*ji

Only God can judje
 
Huwezi amini leo mpaka kesho naombaga Mungu nikutane nae,wanasemaga hasira zinapoa ila kila nikikumbuka nazidi kukasirika,ukweli huyo jamaa siku nakutana nae uso kwa uso Hatoamini...
naelewa vyema sana sana....msearch fb..na ukuteimechooka na ulokole wake feki huko... ukute linavaa mishati ya vitenge linahubiri stend..pole
 
Hiyo app itakuwa inamlipa sana Mange. Mpaka anawalipa watu wamtumie connection [emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sasa 2024 mwaka utakuwa wa Moto sana. Itabidi Mange aanzishe app maalum kwa ajili ya connection pekee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Maana Mange analalamika watu ni wengi mpaka app inalemewa[emoji1787]
Anaingiza 2B kwa mwezi kupitia app.
 
Mleta mada upo sahihi na haw member wanachangia issue nyingine ambayo sio lengo lako.

Kimsingi hata ukimuangalia kwa macho ya kawaida yule binti ana shida anahitaji msaada wa kisaikolojia. Jinsi anavyoongea tu unajua kabisa ana shida mahali. Mungu amsaidie kwa kweli.
 
Ifikie Muda watu jamii hii wauliwe kama kule Taliban ushenzi kama huu wanatokomeza haraka wanaitwa magaidi lkn wamestaarabika sisi tunaoyafurahia haya acha vizazi vyetu viharibike.
Yaani uue watu kisa wanasex 😳 una akili kweli wewe, bila sex ungezaliwa?
Kabla ya kujifanya mtakatifu hebu kaa chini hesabu dhambi zako hadi sasa.
 
Back
Top Bottom