Gigy Money asaidiwe

Gigy Money asaidiwe

Kwa kuwa wote ni wanaccm basi usitarajie chochote.

Nchi hii ukitaka kuplay risk na kubaki kuwa safe basi jiunge na ccm chawa
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa wote ni wanaccm basi usitarajie chochote.

Nchi hii ukitaka kuplay risk na kubaki kuwa safe basi jiunge na ccm chawa
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mawazo yangu nafikiri ana depression, ana tatizo kubwa la akili.. Kwa yaliyompata yeye na mwenzake Amberlulu, sikutarajia kama atajisifia kwamba ni muuzaji wa mwili..

Hivi karibuni pamekuapo na matukio ya kifedhuli kuhusiana na wasanii maarufu, na hao wanaonyesha kabisa ni wauzaji wa mwili, huku wakiishi fake life.. ni picha mbaya sana na mfano mbovu kwa kizazi Cha vijana wadogo..

Natarajia serikali ichukue HATUA Kali, isilikalie KIMYA hili. Gigy anarekodi video anajisifu anauza mwili, je ni mfano Gani anaonyesha wasichana wadogo ambao ni Taifa la kesho?? Mh. Dr Doroth Gwajima usilifumbie macho hili

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app

Hivi ni nani kasema au kafanya jamii imuone huyu mtu ni wa mfano. Kwa nyimbo zipi. Wakati mwingine tulaumu watu wenyewe kwasababu anafuatiliwa kutokana na vituko vyake.
 
Hichi ndicho alichokuwa akikitaka giggy!...

Mission Accomplished!!!

Aliirecord hii video purposely kwa lengo (mahsusi kabisa) la kuisambaza indirectly kupitia mange...

Hata ukiiangalia video kwa jicho la udadisi... Unagundua kabisa ya kwamba...this was planned to be as it is!

Hii ni njia yao kuu ya kukuza soko lao.. giggy, amberL and the like!
U

Uliona wapi (kiuhalisia) unagonga Demu anavuta sigara kitandani ama kusoma gazeti!!?

#imeendahiyo
 
Hichi ndicho alichokuwa akikitaka giggy!...

Mission Accomplished!!!

Aliirecord hii video purposely kwa lengo (mahsusi kabisa) la kuisambaza indirectly kupitia mange...

Hata ukiiangalia video kwa jicho la udadisi... Unagundua kabisa ya kwamba...this was planned to be as it is!

Hii ni njia yao kuu ya kukuza soko lao.. giggy, amberL and the like!
U

Uliona wapi (kiuhalisia) unagonga Demu anavuta sigara kitandani ama kusoma gazeti!!?

#imeendahiyo
Nakubaliana na wewe, na kwa style hii watadhalilika wengi mjini hapa
 
Back
Top Bottom