Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Mnamuongelea mtu wenu kama wote tunamjua. Ni nani anahusika na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingekua rahisi hivyo watu wote wangekua na App, B kama B watu wanaichukuliaje hiviiii😂Wafuasi wa Mange utawawezaaaaaaa
2B kwa mwezi my foot 😂
2bn kwa mwezi si angekua tajiri huko aliko...hapo unaongelea usd 800 000...hela isikie tu kwa manenoAnaingiza 2B kwa mwezi kupitia app.
Ugumu wa maisha unafanya watu wauze nafsi zaoJana insta kulichafuka!!
Ila semaji naye anavyonyonya nyonyo kwa kudeka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yote tisa kumi gigy alivyoingia live kumchamba Mange khaaa!! Nyie gigy mkavu
Ila wanyaki wana balaa kutoka Amber rutty mpk gigy na amber Lulu [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado record inashikiliwa na green city
Jamaa kwa spidi yake watu tulijua kasimama hupump kumbe ni mwendo wa mkali frame ya video inazidiwa na mtu😂😂Sema next time jamaa apunguze speed[emoji3]
Huzuni kwa kweli na kutaka umaarufu usiokuwa na faidaUgumu wa maisha unafanya watu wauze nafsi zao
Umemaliza mkuu kwanza wateja wake wengi wanastress kma zake...2bn labda za somalia2B hiiii hiii au Tubiiiii ingine we berylyn wewe yule mdada ni muongoo shetani anasubiri
Hata 5m kwa mwezi ni ngumu..labda 2bn ya somaliaWafuasi wa Mange utawawezaaaaaaa
2B kwa mwezi my foot [emoji23]
Visasi havifai..Huwezi amini leo mpaka kesho naombaga Mungu nikutane nae,wanasemaga hasira zinapoa ila kila nikikumbuka nazidi kukasirika,ukweli huyo jamaa siku nakutana nae uso kwa uso Hatoamini...
😂😂😂 Si nimekwambia yani humu wadada toleo jipya hawaji kuisha ni kipindi chao.Waambie nahitaji video ya manara, amber lulu nyingine nimeshaziona, halafu upunguzage kuwashwa washwa fala wewe
sasa kama phrase nyoofu kama hiyo hauelewi je ningeweka codes ingekuwajeSijaelewa
sasa kama phrase nyoofu kama hiyo hauelewi je ningeweka codesSijaelewa
kujifanya mwema jangwani nzi na mbu wengi kujikosha basi chawa shangwe, jioni ndindi asubuhi mchana si ndio yakarudi yale yale yangu zakenimwendaUzi ngeni!Fafanua.
Duh! Fafanua bhasi na sisi wa huku mbinga tuelewe.Uzi wa watu wa Dar huu,, wa mkoani nawajua hamtaelewa kitu
mkoa bila bila corido house maza mwangazaa nani. Hypocrite sanaUzi wa watu wa Dar huu,, wa mkoani nawajua hamtaelewa kitu
mpanaa arabuni maza kujifanya mwema jangwani nzi na mbu wengi kujikosha basi chawa shangwe, jioni ndindi asubuhi mchana si ndio yakarudi yale yale yangu zakenimwendaDuh! Fafanua bhasi na sisi wa huku mbinga tuelewe.